Naomba msaada wa afya naombeni msaada

Naomba msaada wa afya naombeni msaada

Nimeweka no yngu hapo mm natka nitolewe hapa regency 0764214031 mm niko wodini shida yangu nataka nipewe rufaa niende hospitali nyingine ninatumia bima ya nhif
Bima ya nhif siku hizi haina uzito kivile, na kama ni private wata taka cash.

Ndio maana nime kwambia kurahisisha njoo n I'd ya zamani, ili tufanye jambo.
 
Waombe tu wakuandikie Rufaa. Kupona pia kunaendana na imani kama una imani na Mloganzila. Ila sijajua umetumia vigezo gani kuona panakufaa na si hospital zingine. Zungumza na Doctor atakuandikia tu rufaa haina hata mambo mengi wala. Kama unauwezo unaweza lipia hata ambulance ama tafuta usafiri binafsi wa kukufikisha kwa haraka maana njia ya kwenda Mbezi sio rafiki sana kwa sababu ya foleni.
 
Mimi nimelazwa regency hospital wiki ya pili sasa nina shida ya kifua sasa oxygen kilasiku inashuka nimewekewa oxygen lakini still inashuka leo imefika 68 naombeni msaada nipewe rufaa mloganzila maana naona hapa sipati huduma nzuri sina mtu wa kunisaidia kutoka hapa ninatumia bima ya nhif ya mfanyakazi naombeni mnisaisie 0764214031
Unataka matibabu ya kifua au transfer.
Kama ni matibabu ya kifua eleza in details. Umri wako, historia ya ugonjwa, Kama una BP, cardiac issues, n.k
Usaidiwe
 
Bima inalipa, SEMA unataka Nini! Labda pesa ya matibabu au usafiri wa kukuhamisha hapo
Mimi sihitaji hela shida ni kwamba oxygen yangu inashuka huku still niko kwenye oxygen leo iko 68 inaniogopesha sana natamani kuhama hospitali ila sina wa kunisimamia nitoke hapa hiyo ndio shida yangu sina ndugu wa kunisemea hapa nitoke hapa hospitali
 
Back
Top Bottom