Naomba msaada wa afya naombeni msaada

Naomba msaada wa afya naombeni msaada

uko wodi namba ngapi Mariam.
Nimeweka no yngu hapo mm natka nitolewe hapa regency 0764214031 mm niko wodini shida yangu nataka nipewe rufaa niende hospitali nyingine ninatumia bima ya nhif
au ICU(intensive care unit) Niko nje regency niambie Dr wako anaitwa nani na ndg yako wa karibu ulimwandika kwenye taarifa zako hapo hospitalini........Niko hapa nikusaidie
 
kabisa, kuna wakati ni busara kuweka dhana kuwa mtu ana matatizo kweli kuliko kuweka dhihaka kwa dhana mtu anadanganya.

Unaweza hisi unachekesha watu kwa comment za kipumbavu kutotambua kuwa pengine faraja na matumaini pekee ya mgonjwa na huu uzi wake aliouweka.

Intelligent businessman jambo linachekesha kama halijakugusa directly, usifanye dhihaka kwenye madhila ya wengine chief.
Kuna utani wowote nilio uweka hapo?, kasema ana omba msaada na ana bima ya nhif.

Kwa tatizo lake hilo una hisi hiyo bima ya nhif ita mfaa kwa muda gani?, means cash ita hitajika mwanzoni.

that's why nika muambia aje na I'd yake iliyo zoeleka ili tufanye jambo, au hujui watu wa jf walivyo wagumu kutoa kwa wasiye mjua.
 
uko wodi namba ngapi Mariam.

au ICU(intensive care unit) Niko nje regency niambie Dr wako anaitwa nani na ndg yako wa karibu ulimwandika kwenye taarifa zako hapo hospitalini........Niko hapa nikusaidie
Mpigie simu, kwa hali yake sidhani hata huu uzi kaandika yeye.
 
Mloganzila.nenda Tu direct ila unatokea private ujuena kule bill yako itakuwa ya kipravate ..ujipange.ila uzuri kuleutapona
Umenikumbusha tuliwahi toka private na mgonjwa tukapewa refferal twende Muhimbili, ila tukashauriwa tupite mwananyamala tukifika kule tutumie refferal ya mwananyamala maana ikitokea umetoka private moja kwa moja kuna package zake na zipo juu.
 
Mbona ni rahisi.

Ongea na Daktari wako kwamba unaomba kuondolewa hapo.
Na wakupe rufaa kwenda huko unakotaka.

unaweza kuwatumia ndugu zako wanaokuuguza kushinikiza hili.
 
Je una uwezo wa kutoka hospitali moja hadi nyingine bila ambulance?

Asilimia kubwa ya bima na NHIF huduma ya ambulance haipo covered hivyo ujiandae kulipia cash.
 
Mimi nilidhani jambo aliloulizia la uhamisho angepata jibu sehemu aliyolazwa? Kwa nini asiwaulize directly kuwa anataka kubadilisha sehemu ya matibabu? Thread inaweza kuwa ni mtu mwenye shida kweli lakini pia inatia wasiwasi sana sana. Na namba kaweka ya nini?
Sema wewe mkuu, niki sema mimi nita onekana nakebehi.
 
I'd yake ya zamani itakusaidia nini wewe kilaza?Kama umeshindwa hata kutoa msaada wa maneno si usepe tu we kitobo.
Msaada wa maneno kwa mtu mwenye shida ya kifua?,

anyway aki weka hiyo I'd, nita changia mchango wa sadaka yangu.

Mwisho matusi siku hizi ni cheap shots, labda umwambie mzazi wako ndio ana weza shituka.
 
Kuna utani wowote nilio uweka hapo?, kasema ana omba msaada na ana bima ya nhif.

Kwa tatizo lake hilo una hisi hiyo bima ya nhif ita mfaa kwa muda gani?, means cash ita hitajika mwanzoni.

that's why nika muambia aje na I'd yake iliyo zoeleka ili tufanye jambo, au hujui watu wa jf walivyo wagumu kutoa kwa wasiye mjua.
Mwenye dhamira ya kusaidia hasa atasaidia kwa kuguswa na tatizo husika na si jina la muhusika.
 
Back
Top Bottom