wadau wa jamii,kwa anayefaham utatuzi wa simu yangu,mda si mrefu nilikua na download baadhi ya application kwenye hiyo sim,lakini ghafla ikazima na kila nikiwasha inatokea nokia basi haiwaki tena.mda mwingine ikiwaka siwez kutumia kwa njia yoyote ile,mpaka nitoe betri.simu yenyewe ni nokia 5230.