Naomba msaada kwenye hili suala tafadhali

KingPower

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
1,099
1,747
Habari wakuu Naamini kbsa JF ni home of great Thinker.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada

Kuna Mdogo wangu kaajiriwa ualimu (ajira za mwaka Jana) hali ya kuwa yeye ni Muhandisi (Engineer) na anafundisha shule ya ufundi.

Ameomba ajira za uhandisi umeme Tamisemi na ameitwa Kwa ajili ya usahili trh 13/11/2021.

Aliipitisha barua Kwa mkuu wa shule then kwa afisa elimu na mkurugenzi toka trh 10/11/2021.
Mpaka dead line walikua goma kumsainia (afisa elimu ) sababu ni kua ajathibitishwa Kazini ,
Dogo akaenda Kwa afisa utumishi jibu alilopewa kua hawezi kumruhusu kisa atalaumiwa ukipatika upungu eneo lake la kazi., Pia atawabania wenzake nafasi ikitokea atapata.


Dogo ikabidi atume ivo ivo Siku ya dead line (aliandika barua bila kupitisha uko) na jambo zuri ni kua ameitwa kweny interview Dodoma

Sababu ya Dogo kutaka kazi hii

1) Ni ndoto yake na ni kitu alichosomea

2) TSC chama cha walimu hakiwatambui kwaiyo hawezi kupanda madaraja na kupata stahiki za kiualimu

3) Hawezi kuthibitishwa kazini Kwa sababu hana TSC number pia hamna muongozo wowote juu ya hatma yao (labda wakasome crush program) kumbuka kasoma 4 year tofauti na walimu walio soma 3 year.

Wakuu ushauri wenu ni muhimu juu ya hili

Je akafanye interview na akifanikwa kupita kwenda oral ile index number yake ya form 4 itamuonesha alipo na utata unaweza kuanzia apo.

Karibu sna wakuu anzie wapi?
 
1.Alipataje nafasi huko na yeye si mwalimu haliyakuwa walimu wapo wengi mtaani na vigezo vyao wamekosa?
2. Huko alikopeleka hiyo barua bila kusainiwa na ikapitishwa hadi kuitwa kwenye enterview kuna nani huko?
USHAURI:
Connection aliyoitumia hadi kupata kazi ya awali ya ualimu na connection aliyoitumia hadi barua yake kupitishwa hadi kuitwa basi nguvu ya connection hiyo hiyo aitumie kwenda kwenye kazi ya ndoto yake.
Walimu wengine wasubiri mtaani.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu Naamini kbsa JF ni home of great Thinker.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada

Kuna Mdogo wangu kaajiriwa ualimu (ajira za mwaka Jana) hali ya kuwa yeye ni Muhandisi (Engineer) na anafundisha shule ya ufundi.

Ameomba ajira za uhandisi umeme Tamisemi na ameitwa Kwa ajili ya usahili trh 13/11/2021.

Aliipitisha barua Kwa mkuu wa shule then kwa afisa elimu na mkurugenzi toka trh 10/11/2021.
Mpaka dead line walikua goma kumsainia (afisa elimu ) sababu ni kua ajathibitishwa Kazini ,
Dogo akaenda Kwa afisa utumishi jibu alilopewa kua hawezi kumruhusu kisa atalaumiwa ukipatika upungu eneo lake la kazi., Pia atawabania wenzake nafasi ikitokea atapata.


Dogo ikabidi atume ivo ivo Siku ya dead line (aliandika barua bila kupitisha uko) na jambo zuri ni kua ameitwa kweny interview Dodoma

Sababu ya Dogo kutaka kazi hii

1) Ni ndoto yake na ni kitu alichosomea

2) TSC chama cha walimu hakiwatambui kwaiyo hawezi kupanda madaraja na kupata stahiki za kiualimu

3) Hawezi kuthibitishwa kazini Kwa sababu hana TSC number pia hamna muongozo wowote juu ya hatma yao (labda wakasome crush program) kumbuka kasoma 4 year tofauti na walimu walio soma 3 year.

Wakuu ushauri wenu ni muhimu juu ya hili

Je akafanye interview na akifanikwa kupita kwenda oral ile index number yake ya form 4 itamuonesha alipo na utata unaweza kuanzia apo.

Karibu sna wakuu anzie wapi?
Atulie kazin kwa hichohicho kidog anachopata.... kuitwa interview siyo kupat hiyo tamaa itamponza

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
1.Alipataje nafasi huko na yeye si mwalimu haliyakuwa walimu wapo wengi mtaani na vigezo vyao wamekosa?
2. Huko alikopeleka hiyo barua bila kusainiwa na ikapitishwa hadi kuitwa kwenye enterview kuna nani huko?
USHAURI:
Connection aliyoitumia hadi kupata kazi ya awali ya ualimu na connection aliyoitumia hadi barua yake kupitishwa hadi kuitwa basi nguvu ya connection hiyo hiyo aitumie kwenda kwenye kazi ya ndoto yake.
Walimu wengine wasubiri mtaani.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Asanteeee umemjibu vizuri sana.....asituchanganye vichwa
 
Mkuu walihitajika walimu wa ufundi shule za technical eg, Mtwara tech , iyunga , Tanga tech ect ..

Na kama unavojua shule za ufundi zilikua taabani so waka opt kuwaajiri waliosomea ufundi(umeme , ujenzi ect) Kwa maana ya Bachelor na Diploma za ufundi na sio walimu 100%, Kwa maana walio somea Technical education.

Kufika uko TSC haiwatambui sijui unaona changamoto anayopitia yani hawezi kupanda madaraja ect
1.Alipataje nafasi huko na yeye si mwalimu haliyakuwa walimu wapo wengi mtaani na vigezo vyao wamekosa?
2. Huko alikopeleka hiyo barua bila kusainiwa na ikapitishwa hadi kuitwa kwenye enterview kuna nani huko?
USHAURI:
Connection aliyoitumia hadi kupata kazi ya awali ya ualimu na connection aliyoitumia hadi barua yake kupitishwa hadi kuitwa basi nguvu ya connection hiyo hiyo aitumie kwenda kwenye kazi ya ndoto yake.
Walimu wengine wasubiri mtaani.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Ni ajira ambayo umepewa check number tu hata mkataba hawajajaza na kuthibitishwa haijulikani

Wale walio somea ualimu wamejaza mkataba na kufika mwezi wa 12 wanathibitishwa
Mkuu walihitajika walimu wa ufundi shule za technical eg, Mtwara tech , iyunga , Tanga tech ect ..

Na kama unavojua shule za ufundi zilikua taabani so waka opt kuwaajiri waliosomea ufundi(umeme , ujenzi ect) Kwa maana ya Bachelor na Diploma za ufundi na sio walimu 100%, Kwa maana walio somea Technical education.

Kufika uko TSC haiwatambui sijui unaona changamoto anayopitia yani hawezi kupanda madaraja ect
 
Mkuu Tangazo la aliloitwa kweny interview linataka hadi walio ajiriwa serikalini

Sababu za kuomba hii kazi nimezitaja hapo juu
Pia hajapewa mkataba wa ajira kama wale walio somea ualimu 100% pia hatambuliwi na TSC.

Afisa utumishi yuko sawa yaaan wew umeajiliwa mwak jana,,, mwaka huu uache gep

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hakuwa na connection yeyote ile

Najibu hoja ya pili

Barua haikusainiwa ,, akaomba kazi bila kupitia Kwa muajiri.
1.Alipataje nafasi huko na yeye si mwalimu haliyakuwa walimu wapo wengi mtaani na vigezo vyao wamekosa?
2. Huko alikopeleka hiyo barua bila kusainiwa na ikapitishwa hadi kuitwa kwenye enterview kuna nani huko?
USHAURI:
Connection aliyoitumia hadi kupata kazi ya awali ya ualimu na connection aliyoitumia hadi barua yake kupitishwa hadi kuitwa basi nguvu ya connection hiyo hiyo aitumie kwenda kwenye kazi ya ndoto yake.
Walimu wengine wasubiri mtaani.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sio tamaa kama umesoma vzr anatafuta uhakika wa ajira yake

Kweny ajira kapewa Temporary letter of appointment na sio mkataba na kuthibitishwa haijulikani kwasababu TSC haiwatambui
Atulie kazin kwa hichohicho kidog anachopata.... kuitwa interview siyo kupat hiyo tamaa itamponza

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee nimekupata mkuu

Ila umesota 4 year still uongeze mwaka wa 1 wa post graduate

Kweli hii Bongo tena kwa gharama zako, alaf uyu wa 3 year anakuchapa gepu vzr la kupanda madaraja

But Thanks kwa ushauri .
Nao nitamshauri
Kwani si asome hata post graduate ya education chap. Awe na kakoz ka ualimu Ila hasitoke kwenye mfumo huku mtaan watu wanaozea bench

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Daaaah kwahiyo TSC kukutambua ni mpaka kozi yako iwe ya EDUCATION, AU WITH EDUCATION? Njee ya hapo hawakujui au nimeelew vibaya

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
TSC inakutambua kama umesoma kozi za ualimu.

Pia, kwa mtu mwenye firsr degree ambayo ni non-education, eg Law, atahitajika kusoma Postgraduate Diploma in Education ili aajiriwe kama mwalimu.

Yaani hao viongozi wake wanambania bure tu kwa sababu, yeye kasoma degree ya umeme bila education, hivyo hatambuliwi na TSC kama mwalimu mpaka asome PGDE.

Yeye akapige interview tu hivyo hivyo kibishi, majibu yakitoka fresh, anaenda moja kwa moja kwa mkurugenzi kuongea nae ili ahamishe cheki namba. Future yake nzuri ipo kwenye umeme na siyo kwenye ualimu kwani kwenye ualimu hatapanda daraja.
 
Back
Top Bottom