Naomba msaada kwenye hili suala tafadhali

Naomba msaada kwenye hili suala tafadhali

Alikuwa bado yuko probation yaani ile miezi 12 ya mwanzo akifanyiwa close supervision mpaka amalize athibitishwe kisheria hao waligoma wako sahihi under porbation hupati hata likizo ya mwaka so wanaweza mblock kumfanyia kitu mbaya

Na swala la kuitwa interview bado hajamaliza hakikishe mpaka anaitwa kazini kimya kimya ndo aje wazambia aache
 
1. Huyo ni mwalimu tayari, cheki namba ndio kila kitu na mshahara unaingia.

2. Hizo shule za Ufundi hazijaanza leo tangu miaka ya 60/70 huko Iyunga, Ifunda, Bwiru, Mtwara Tech, Tanga Tech n.k zilikuwepo na zilikuwa zinaajiri watu wa DIT, MTC, ATC, UDSM na wengine hadi kutoka nje ya nchi kufundisha ufundi.

3.Kitendo cha kutaka kutoroka kwenye interview bila ruhusa ya wakuu wake wa kazi kitamtokea puani huyo mdogo wako. Hao wakuu wakiungana kumnyoosha ataita maji mma.

4.,TSC kama wamesema asome post graduate mwaka mmoja kuna ubaya? Open University ipo kwa ajili ya watu kama hao. Pia vyuo kibao vina distance learning na evening programme.
 
Yes you're right

Future inaoneka kweny fani yake
TSC inakutambua kama umesoma kozi za ualimu.

Pia, kwa mtu mwenye firsr degree ambayo ni non-education, eg Law, atahitajika kusoma Postgraduate Diploma in Education ili aajiriwe kama mwalimu.

Yaani hao viongozi wake wanambania bure tu kwa sababu, yeye kasoma degree ya umeme bila education, hivyo hatambuliwi na TSC kama mwalimu mpaka asome PGDE.

Yeye akapige interview tu hivyo hivyo kibishi, majibu yakitoka fresh, anaenda moja kwa moja kwa mkurugenzi kuongea nae ili ahamishe cheki namba. Future yake nzuri ipo kwenye umeme na siyo kwenye ualimu kwani kwenye ualimu hatapanda daraja.
 
Sahihi kabisa

Sema utumishi now day ukipita oral lazima waingize index number ya form 4, so watakujua tu ulipo

Na iyo inaweza kuwa disqualified kwa sababu watataka barua ya ombi la kazi kupitia kwa mwajiri wako
Alikuwa bado yuko probation yaani ile miezi 12 ya mwanzo akifanyiwa close supervision mpaka amalize athibitishwe kisheria hao waligoma wako sahihi under porbation hupati hata likizo ya mwaka so wanaweza mblock kumfanyia kitu mbaya

Na swala la kuitwa interview bado hajamaliza hakikishe mpaka anaitwa kazini kimya kimya ndo aje wazambia aache
 
Number 3 upo sahihi kbsa.

Number 4 asome Kwa gharama za nani?

Kama mtu kasoma 4 year walishindwa nini kuandaa crush program?

1. Huyo ni mwalimu tayari, cheki namba ndio kila kitu na mshahara unaingia.

2. Hizo shule za Ufundi hazijaanza leo tangu miaka ya 60/70 huko Iyunga, Ifunda, Bwiru, Mtwara Tech, Tanga Tech n.k zilikuwepo na zilikuwa zinaajiri watu wa DIT, MTC, ATC, UDSM na wengine hadi kutoka nje ya nchi kufundisha ufundi.

3.Kitendo cha kutaka kutoroka kwenye interview bila ruhusa ya wakuu wake wa kazi kitamtokea puani huyo mdogo wako. Hao wakuu wakiungana kumnyoosha ataita maji mma.

4.,TSC kama wamesema asome post graduate mwaka mmoja kuna ubaya? Open University ipo kwa ajili ya watu kama hao. Pia vyuo kibao vina distance learning na evening programme.
 
Kwa jinsi ninavyo faham mimi, As long as yupo kwenye contract na hakuna dalili za kupewa barua ya appointment for permanent and pensionable, mwambie aongeze bidii ya kujiandaa akafanye Interview.

Na hata kama mtu akiwa kwenye permanent and pensionable terms basi Kama ulipitisha barua yako, procudere ni kuomba transfer kutoka kwa mwajili wako na akikubali unasepa tu.

Don't listen to negative minded people, utajikuta unabakia masikini maishani. We all search for Green Pastures.

If you have Skills, ability and Capabilities ambazo kuna mahali sahihi umeona utakuwa productive zaidi, piga interview, ukipata nenda kafanye kazi, tunajenga Nchi moja.
 
pamoja Mkuu
Kwa jinsi ninavyo faham mimi, As long as yupo kwenye contract na hakuna dalili za kupewa barua ya appointment for permanent and pensionable, mwambie aongeze bidii ya kujiandaa akafanye Interview.

Na hata kama mtu akiwa kwenye permanent and pensionable terms basi Kama ulipitisha barua yako, procudere ni kuomba transfer kutoka kwa mwajili wako na akikubali unasepa tu.

Don't listen to negative minded people, utajikuta unabakia masikini maishani. We all search for Green Pastures.

If you have Skills, ability and Capabilities ambazo kuna mahali sahihi umeona utakuwa productive zaidi, piga interview, ukipata nenda kafanye kazi, tunajenga Nchi moja.
 
Back
Top Bottom