Niomi kaka
Member
- Feb 28, 2025
- 66
- 131
Habari za mchana wakubwa,
Naomba kama kuna mtu ambae amesha Wahi kupata changamoto kama niliyo kutana nayo mimi anisaidie, kwa kifupi ni kwamba mimi Niko nchii jirani ya Zambia. Sasa kuna mdogo wangu alitaka kuja kunitembelea
Baada ya kukamilisha taratibu zote za kupata hati ya kusafiria huko mkoani kwetu amesafiri ili aje kuvukia mpakani Tunduma pale. Lakini chakushangaza uhamiaji upande wa Tanzania wame mzuwia na kushikilia hati yake ya kusafiria eti kwa sababu yuko chini ya umri wa miaka 18. Kwamba kunahitajika barua kutoka kwa wazazi, nakala za vitamburisho vyao vya taifa, na barua kutoka kwangu,
Sasa hapa nimebaki njia panda kwa sababu sijawahi kukutana na changamoto kama hii na sijui na iandikaje, kwahiyo naombeni wazoefu mnisaidie
Naomba kama kuna mtu ambae amesha Wahi kupata changamoto kama niliyo kutana nayo mimi anisaidie, kwa kifupi ni kwamba mimi Niko nchii jirani ya Zambia. Sasa kuna mdogo wangu alitaka kuja kunitembelea
Baada ya kukamilisha taratibu zote za kupata hati ya kusafiria huko mkoani kwetu amesafiri ili aje kuvukia mpakani Tunduma pale. Lakini chakushangaza uhamiaji upande wa Tanzania wame mzuwia na kushikilia hati yake ya kusafiria eti kwa sababu yuko chini ya umri wa miaka 18. Kwamba kunahitajika barua kutoka kwa wazazi, nakala za vitamburisho vyao vya taifa, na barua kutoka kwangu,
Sasa hapa nimebaki njia panda kwa sababu sijawahi kukutana na changamoto kama hii na sijui na iandikaje, kwahiyo naombeni wazoefu mnisaidie