- Thread starter
- #261
Naendelea kujifunza mkuu Kwahiyo shukran kwa somo hiliNyie malimbukeni mnaoshadadia majina, jina ni utambulisho tu, halina chochote cha maana.
Utopia tu imewajaa vichwani.
Karne ya 21 bado kuna wanao amini kuwa kuna majina mazuri na mabaya upumbavu umewajaa tele mnashindwa kubatiza majina ya babu zenu mnakazania babu wa wenzenu.
Lini wazungu na warabu na wahindi wataiga majina yenu.
Kuna mengine yamesoma mpaka PhD bado yana amini kuwa majina yana ngekewa upumbavu tu.
Samahani kama nimekuudhi mpenda majina ya warabu ila uongo kwangu mwiko.