Naomba mawazo yako yanisaidie

Naomba mawazo yako yanisaidie

Zaa ulee mwanao. Huyo jamaa yako anaeza akaeleweka baadae akishapata anachokitafuta na kuona hamna jipya, pia unaweza ukapata mme mwingine ambaye anaeleweka mkaishi vizuri tu.
Ila mimba usitoe, utapata faraja ya ajabu kupitia mwanao ukishajifungua.
 
Mh.nmemuogopa gafla mtoa mada.Nwei mungu akusaidie.
 
jackie,kwa niaba ya kiumbe kilichoko tumboni mwako ambacho hakina uwezo wa kukutamkia lolote naomba usitoe hiyo mimba....hope this post will save one's life!
 
Ua not clear
Habari wakuu!!

Naona mwaka huu unataka kuwa wa majanga kwangu

Nimepata ujauzito ila mwanaume mwenyewe simsomi mahusiano yetu yapo yapo tu ilimrad..

Hapa nilipo nawaza mpk kichwa kinataka kupasuka, nawaza sijui niutoe lakin sijui pa kuanzia sijawah kutoa mimba

Nikisema nizae, mtu mwenyewe simsomi tupotupo tu

Kiumri nina miaka 27 simtegemei mtu na hata mtoto naweza kumlea mwenyewe..

Ila hofu yangu tu ni aina ya mahusiano tuliyonayo ndio inayonipa shida..

Naomba mawazo yako tafadhal
 
Back
Top Bottom