Naomba mawazo yako yanisaidie

Naomba mawazo yako yanisaidie

kwanza pole sana dadangu kwa kuwa disappointed juu ya huyo mwanaume ambaye anakupa mawazo mpaka unawaza kutoa mimba, mi nakushauri usitoe mimba yako kwasababu kufanya hivyo ni dhambi mbele ya mungu.
 
Sio kila anayekuja kulalamka humu na kuomba ushauri ni mtakatifu. Kuna wengine wanakuwa wameyakoroga huko ila wanakuja tu huku kutafuta huruma za watu. Naanza kuhisi labda "labda" huyo jamaa ana sababu za msingi tu kuchukua uamuzi huo anaouchukua. Labda dada utueleze sababu za huyo jamaa kutokukujali. Je hali hiyo ilianza ghafla tu? Au ilianza mara baada ya kukugegeda? Je hakuna ovu lolote ulilomfanyia? ulichukua jitihada gani kuweza kumrudisha kwenye mstari? Je unampenda kwa dhati kabisa? Endapo ukitoa hiyo mimba nafsi itakuwa na amani? Ukitoa hiyo mimba utakuwa umemkomoa nani kati ya wewe mwenyewe, mtoto na huyo jamaa.....

Nikikwambia unadandia tren kwa mbele naonekana sio kuna sehem nimeandika jamaa hanijal?? Hayo maswal uliyouliza umeyatoa wap?? Acha kufikiria kwa kutumia makalio..

Si ajabu ukawa na tabia za umbea-umbea..
 
Jack usfny mstake ambyo you won't forget forever as long uwezo wa kumlea mtto unao do it for luv.kma jmaa anlta mapcpcha tmana nae

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwa majibu yako,mleta mada ,,,,,,,,network searching,,,,,,,,,,,,,,,,,,, dish limeyumba ,,,,,,,,,,,,,,
 
Siku nyingne ujifunze kukaa mguu sawa. Sio kila muda mguu pande

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Birds of the same feather.....
Wewe na jamaa yako mnaoneka mna akili sawa kabisa. Lea tu mimba ila na mashaka na hiyo product kama "wewe unajielewa" una akili fyatu namna hii huyo "asijielewa" sijua atakuwa.
 
Birds of the same feather.....
Wewe na jamaa yako mnaoneka mna akili sawa kabisa. Lea tu mimba ila na mashaka na hiyo product kama "wewe unajielewa" una akili fyatu namna hii huyo "asijielewa" sijua atakuwa.

Kanye huko kama umebanwa na mavi..fyatu shangaz yako..
 
Hutakiwi kulia lia humu wakati unajua athari za kupanua kavukavu. We ulitegemea nini kukigawa kavukavu??

Anayelia ukimuona utamjua?? Mm nimeuliza tu nipate mawazo ya watu wengine ila la kufanya najua..
 
Nikikwambia unadandia tren kwa mbele naonekana sio kuna sehem nimeandika jamaa hanijal?? Hayo maswal uliyouliza umeyatoa wap?? Acha kufikiria kwa kutumia makalio..

"""""""Si ajabu ukawa na tabia za umbea-umbea..["""""""""/QUOTE]

Aisee basi sawa
 
Mungu aturehem, watu wanashirikiana kuchoropoa mimba kila uchao...
 
Mtoa mada kama Mwajuma ndala ndefu. Hiyo mimba imekaa kwenye kibofu cha mkojo nini?
 
Back
Top Bottom