dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,833
- 3,750
Hujashikiwa sime unishaur, usije ukajiona cake sana au ushaur wako ukauona ni suluhisho la tatizo langu..
Ushaur wako si lolote si chochote kwangu..
Chukua time
"Naomba mawazo yako yanisaidie" hivyo ndivyo heading ya thread yako inavyosomeka lakini kwa maelezo yako hapo juu ni vyema ukabadilisha heading hiyo.