Naomba mawazo yako yanisaidie

Naomba mawazo yako yanisaidie

Si tunataka usawa? Tuonyesheni basi kwa vitendo kwamba tunaweza kujisimamia tuone kama watatunyima.
 
Una umri gani? Mbona ulichokiandika kinafanana na fikra za binti wa kidato cha pili? Unataka kusema hiyo mimba iliingia kwa bahati mbaya? Kama ni hivyo basi hustahili kuwa na huo umri uliotutajia. Unasema una uwezo wa kumlea mtoto ajaye peke yako halafu unasema unataka kuitoa mimba, mbona hueleweki? Sasa unataka tukushauri nini? Kama unaweza kumlea mtoto peke yako hayo mawazo ya kutoa mimba yanatokea wapi? Unasema humuelewi huyo mchumba wako, sawa ila hilo ni tatizo lako la uvivu wa kuchagua, mtoto wa tumboni mwako haimuhusu sasa kwanini umuue? Ndiyo huo ni uuaji. Kwa umri wako unatambua lipi jema na lipi baya fanya vyovyote unavyotaka hata nikikuambia usitoe neno langu si sheria.

Ameomba ushauri..... Ina maana pamoja na umri, uwezo alio nao still kashindwa kulitatua tatizo lake. Sasa wewe cha kufanya mshauri. Unaweza kua na umri mkubwa bt sio sababu ya kuweza kuyatatua matatizo yote yakikukumba.
 
Si unauwezo wa kumlea mwanao?Hebu jizalie usije ukatoa mimba kumbe ndo hilo hilo yai ulilonalo tumboni
 
Una miaka 27 kweli? Nirudie kusoma kwa kipi hasa kigumu ulichoandika? Wakati mnagegedana na huyo jamaa yako kwanini hukujikinga mimba isiingie? Hadi umri huo unapata mimba isiyo ya kutarajia, AIBU! Kama ungesema una miaka 14 angalau ningesema sio kosa lako ila miaka 27 mmh kuna tatizo. Sasa kwanini unasema unafikiria kutoa mimba kisa jamaa yako haeleweki? Yaani kwa uppuzi wa jamaa unataka kumuhukumu mtoto wako aliyetumboni, huo ni ujjinga! Unasema nimedandia treni, treni la kwenda wapi hilo? Kwa hiyo kuna aina ya ushauri ambao ulikuwa unauhitaji ila tunaokuja na mitazamo tofauti tunakuwa tumedandia treni kwa mbele. Hebu kuwa serious kidogo
 
Lea mimba then ukishajifungua lea mtoto mama huwez jua mungu kakupangia nin ndugu
 
Kama unaweza kumlea mtoto mwenyewe kwa nini usimlee?

Saa nyingine mwanamke akishanasa ndio anagindua mwanaune aliyenae ni garasa

Hapo mawazo ya kutoa mimba ndio huja

Kataa kuitoa mimba, zaa mwanao

Na ndio unyooshe maisha yako

Hata kama mwanaume atakimbia

Jenga upya maisha yako na next time kataa wanaume magarasa
 
Ameomba ushauri..... Ina maana pamoja na umri, uwezo alio nao still kashindwa kulitatua tatizo lake. Sasa wewe cha kufanya mshauri. Unaweza kua na umri mkubwa bt sio sababu ya kuweza kuyatatua matatizo yote yakikukumba.

Okay ngoja nimshauri...
Hakuna majaribio katika maisha kwani kila unachokifanya kinatengeneza historia ya maisha yako. Usiichafue historia yako kwa kutoa mimba kwani tendo hilo halitokuacha salama kisaikolojia. Labda ulifanya kosa kuingia kwenye mahusiano na mwanaume huyo asiye na busara lakini tambua daima huwa kuna nafasi ya kurekebisha pale tulipokosea na sio kuyatumia makosa ya mwanzo kufanya makosa mapya. Kutoa mimba ni dhambi usfanye hivyo. Umesema una uwezo wa kulea, ndio siku zote Mungu huwa hatupi mitihani bila kutupa njia za kuikabili mitihani hiyo. Jamaa haeleweki ila uwezo kulea mwenyewe unao basi fanya hivyo hiyo ndio njia aliyokupa Mungu. Kesho yako itakuwa bora kwa kuiishi vyema leo, usiiharibu kesho yako ndugu yangu.
 
Okay ngoja nimshauri...
Hakuna majaribio katika maisha kwani kila unachokifanya kinatengeneza historia ya maisha yako. Usiichafue historia yako kwa kutoa mimba kwani tendo hilo halitokuacha salama kisaikolojia. Labda ulifanya kosa kuingia kwenye mahusiano na mwanaume huyo asiye na busara lakini tambua daima huwa kuna nafasi ya kurekebisha pale tulipokosea na sio kuyatumia makosa ya mwanzo kufanya makosa mapya. Kutoa mimba ni dhambi usfanye hivyo. Umesema una uwezo wa kulea, ndio siku zote Mungu huwa hatupi mitihani bila kutupa njia za kuikabili mitihani hiyo. Jamaa haeleweki ila uwezo kulea mwenyewe unao basi fanya hivyo hiyo ndio njia aliyokupa Mungu. Kesho yako itakuwa bora kwa kuiishi vyema leo, usiiharibu kesho yako ndugu yangu.

Hujashikiwa sime unishaur, usije ukajiona cake sana au ushaur wako ukauona ni suluhisho la tatizo langu..

Ushaur wako si lolote si chochote kwangu..
Chukua time
 
Okay ngoja nimshauri...
Hakuna majaribio katika maisha kwani kila unachokifanya kinatengeneza historia ya maisha yako. Usiichafue historia yako kwa kutoa mimba kwani tendo hilo halitokuacha salama kisaikolojia. Labda ulifanya kosa kuingia kwenye mahusiano na mwanaume huyo asiye na busara lakini tambua daima huwa kuna nafasi ya kurekebisha pale tulipokosea na sio kuyatumia makosa ya mwanzo kufanya makosa mapya. Kutoa mimba ni dhambi usfanye hivyo. Umesema una uwezo wa kulea, ndio siku zote Mungu huwa hatupi mitihani bila kutupa njia za kuikabili mitihani hiyo. Jamaa haeleweki ila uwezo kulea mwenyewe unao basi fanya hivyo hiyo ndio njia aliyokupa Mungu. Kesho yako itakuwa bora kwa kuiishi vyema leo, usiiharibu kesho yako ndugu yangu.

Hapa sawa. Naamini atakua amekuelewa sasa.
 
Hujashikiwa sime unishaur, usije ukajiona cake sana au ushaur wako ukauona ni suluhisho la tatizo langu..

Ushaur wako si lolote si chochote kwangu..
Chukua time

Sasa na wewe unavuka mipaka. Kuleta hapa ni kutaka ushauriwe na watu wote uku kila mtu akitoa ushauri kutokana na upeo wake. Unaweza kutulia ushauriwe ....
 
Sasa na wewe unavuka mipaka. Kuleta hapa ni kutaka ushauriwe na watu wote uku kila mtu akitoa ushauri kutokana na upeo wake. Unaweza kutulia ushauriwe ....

Kwan yy ni wa kwanza kunishaur, walionishaur wengine kuna nililosema?..
Dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaid yake
 
Unajiongezea dhambi badala ya kutubu na kulea kiumbe cha mungu kisicho na hatia, maandiko yanasema usizini ww ukazini, Usiue, tena unataka umue mtoto, pia akakukumbusha kwa kusema "acheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mbigu ni wao.
 
Back
Top Bottom