Naomba majibu ya maswali haya

Naomba majibu ya maswali haya

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,622
Reaction score
3,144
(1) Kwanini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?

(2) Kwanini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?

(3) Kwanini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?

Karibuni kwa majibu.
 
Inawezekana unaona vimezidi awamu hii ila kumbuka kuwa wizi bin ujambazi bin ufisadi wakati wa magufuli ulikuwa mkubwa mno kuliko awamu zote sema alikuwa amepiga marufuku kuongelewa na alikuwa tyr hata kuua kwa aliyeongea!
 
Weka takwimu tuone kama kweli haya mambo yameongezeka vinginevyo ni porojo tu na kama upepo wa mfalme Zumaridi ulivyopita.
(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?

(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?

(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?

Karibuni kwa majibu.
 
Wa
(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?

(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?

(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?

Karibuni kwa majibu.
Watu wajinga FANYA KAZI
 
(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?

(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?

(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?

Karibuni kwa majibu.
Sometimes walinda legacy cjui mnakwama wapi, hoja ya kwanza mamb hayo yalikuwepo BC. Hoja ya pili tangu enz za Mwalimu. Hoja ya tatu c dhani kama ina uhalisia!!
 
(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?

(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?

(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?

Karibuni kwa majibu.
usiseme vimeshamiri awamu hii. sema uwepo wake umejulikana awamu hii. Na hii ndiyo faida ya kuwepo uhuru wa habari na kutoa maoni.
 
(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?

(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?

(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?

Karibuni kwa majibu.
Mama amewafuta machozi hao wote unaowataja hapo na sasa machozi yamehamia kwa wananchi.

Hakuna msaada
Hakuna wa kuwasikiliza
Makundi maalumu yanatumika kisiasa......

Mungu ataamua
 
Inawezekana unaona vimezidi awamu hii ila kumbuka kuwa wizi bin ujambazi bin ufisadi wakati wa magufuli ulikuwa mkubwa mno kuliko awamu zote sema alikuwa amepiga marufuku kuongelewa na alikuwa tyr hata kuua kwa aliyeongea!
Hata uzembe makazini ulipigwa marufuku kuonekana?
 
Huna akili, Nyerere na Sokoine wakati wanapambana na wahujumu uchumi ilikuwa awamu gani?

Ushoga ulikuwepo kabla ya kuzaliwa kristo, soma historia ya Sodoma na gomora.

Takataka za mwendakuzimu ni empty set.
Usimba na Uyanga unaendelea 🙄 !!
 
Back
Top Bottom