(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?
(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?
(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?
Karibuni kwa majibu.
Kwa sababu sasa vinasemwa na rais kaachia watu waxungumze na wajadili kwa uwazi report ya mkaguzi mkuu lakini wakati wa jiwe hakurusu hayo ilikuwa ni ulaji tu yeye na kundi lake professor Assad alipohoji akafukuzwa kaziMama amewafuta machozi hao wote unaowataja hapo na sasa machozi yamehamia kwa wananchi.
Hakuna msaada
Hakuna wa kuwasikiliza
Makundi maalumu yanatumika kisiasa......
Mungu ataamua
kwa msaada wa haraka! Hayo matendo yote yameanza tangu awamu ya tano! Na nyie watu msiopenda awam ya sita ndo mmepata ga la kumsimanga MH SSH. ila jiwe nae alikuwa Alikuwa mwana mtandao tu.Embu muangalie makonda wa sasa na yule wa kipind cha jiwe' kile kishuz kwisha kabisa' na ile vita alianzisha kwa mising ya wivu tu! kuna yule alienda madagasca kuleta dawa ya korona. Vp hali yake waijua? Chozi la ole 7ya(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?
(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?
(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?
Karibuni kwa majibu.
Mama hajaachia uhuru wowote.Kwa sababu sasa vinasemwa na rais kaachia watu waxungumze na wajadili kwa uwazi report ya mkaguzi mkuu lakini wakati wa jiwe hakurusu hayo ilikuwa ni ulaji tu yeye na kundi lake professor Assad alipohoji akafukuzwa kazi
Uhuru wa kupashana habari na wa vyombo vya habari, pia na uhuru wa watu kutoa maoni uliminywa sana awamu iliyopita, ndiyo maana vitendo hivi vya ukiukwaji mkubwa wa maadili havjkuwa vikiripotiwa.(1) Kwa nini vitendo vya ushoga vimeshamiri sana katika awamu hii?
(2) Kwa nini vitendo vya rushwa, wizi, ufisadi, ubadhirifu, uporaji nk. vimeshamiri sana katika awamu hii?
(3) Kwa nini uzembe na kutojali katika kazi za umma umeshamiri sana katika awamu hii?
Karibuni kwa majibu.