Naomba maelezo ya Kisimiri High School

Naomba maelezo ya Kisimiri High School

Upo sahihi,Hakuna Wilaya ya Meru. Meru ipo ndani ya wilaya ya Arumeru kulipo jimbo la Arumeru Mashariki kwa Mh. Nassari.

Sisi wote ni Watanzania,ukiona mwanao hafai kwenda shule hiyo kwa sababu yeye ni Mkurya na wenyeji wa eneo hilo ni Wamasai na Wameru basi sioni mantiki ya yeye kusoma Mwanza kwa Wasukuma. Angesoma huko Musoma kwa Wakurya wenzake.

In fact shule ni njema na itabutua hata zaidi ya hiyo Mwanza Alliance.
Compact, hii ya wakurya na wamaasai ilikuwa joke tu si unajua wakurya na wamaasai ni watani lakini katika masuala ya kuibiana ng'ombe tu si vinginevyo.

Kwanza, tangu udogoni mwangu nimekua nikijua wamaasai ni adui wa kila mtu duniani maana tukiwaita "ABHABISA" yaani maadui. Na mmaasai kabla ya miaka ya 80 asingeweza kukanyaga kwa wakurya asipigiwe yowe nakuuawa hata mchsna wa jua kali.

Pili, kwa mkurya wakati huo tukiamini kwamba ng'ombe wote wa wamaasai waliwekeshwa kwao na mababu zetu kisha wakawakatalia kwa nguvu.
 
Wilaya ya Arumeru imebadilishwa na kuwa wilaya ya Meru.
4d54220d74d7d8027b22429c1f93ea3d.jpg
Siyo wilaya ya Meru imebadilishwa kuwa Arumeru?
 
Ilikuwa Wilaya ya Meru na kubadilishwa kuwa Arumeru Mkuu!
Halmashauri ya wilaya ya Meru imeanzishwa rasmi kwa Tangazo la serikali Namba 353 ya mwaka 2007 kufuatia uamuzi wa kugawa iliyokuwa Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru na kuanzisha Halmashauri mbili za Wilaya zinazojitegemea za Meru na Arusha.

Halmashauri ya Wilaya ya Meru imeaza kutekeleza majukumu yake kama Halmashauri inayojitegemea kuanzia mwaka wa fedha 2007/2008. Hivyo ni dhahiri Halmashauri ni changa na kwa hiyo inazo changamoto nyingi za kiuendeshaji za siku kwa siku na utoaji huduma bora za kijamii na kiuchumi kwa wakazi wake.
 
Mkuu Shule ya Kisimiri ndio imeongoza kwa matokeo ya kidato cha 6. Kuwa huru kumpeleka mwanao.
 
Kisimiri Sec ipo wilaya ya Longido unaopakana na Wilaya ya Siha. Ni kusini magharibi mwa Mlima Kilimanjaro na ni karibu kabisa na mpaka wa Kenya kutokea Amboseli.
Barabara ya kufika huko ni kutokea Bomang'ombe Hai kuelekea Sanya Juu hadi Kilimanjaro West.
 
Kisimiri Sec ipo wilaya ya Longido unaopakana na Wilaya ya Siha. Ni kusini magharibi mwa Mlima Kilimanjaro na ni karibu kabisa na mpaka wa Kenya kutokea Amboseli.
Barabara ya kufika huko ni kutokea Bomang'ombe Hai kuelekea Sanya Juu hadi Kilimanjaro West.
Im,im,im
 
Kisimir ni shule poa sana,walim wanafundisha lakin pia wanasistiza sana mwanf ajitaftie material mwenyewe kutoka librar,xo km mwanao kazoea kutafuniwa atachemsha,,BTW karibun r chuga,,baridi huku ni mwakemwake,asisahau maasai blanket mana ndo tunashinda nayo haijalish ni kwa ofisi au kitaa
 
Halmashauri ya wilaya ya Meru imeanzishwa rasmi kwa Tangazo la serikali Namba 353 ya mwaka 2007 kufuatia uamuzi wa kugawa iliyokuwa Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru na kuanzisha Halmashauri mbili za Wilaya zinazojitegemea za Meru na Arusha.

Halmashauri ya Wilaya ya Meru imeaza kutekeleza majukumu yake kama Halmashauri inayojitegemea kuanzia mwaka wa fedha 2007/2008. Hivyo ni dhahiri Halmashauri ni changa na kwa hiyo inazo changamoto nyingi za kiuendeshaji za siku kwa siku na utoaji huduma bora za kijamii na kiuchumi kwa wakazi wake.
Bado haijawa wilaya kamili. Tafuta wakuu wapya kama utaona wilaya ya meru. Achana na hayo mambo ya google.
 
Ni one of the best current government's school. Ni shule ya vipaji Maalum kwa Advance,japo haifanyi vema kwenye kidato cha NNE. Ina michepuo miwili pekee yaani PCM na HKL. Imekuwa ikiwa ya kwanza kitaifa kwa shule za serikali Mara kadhaa. Ipo pembeni kabisa Ya Mlima Meru karibu na Ngarenanguki. Ukienda Arusha tafuta Mabasi ya Urio na Neema za Mungu zitakufikisha mpaka shuleni.


Shule ni nzuri,sema kama mtoto ni wa bata Sana ambaye hajazoea kijijini,huko atapata tabu Sana. Vumbi limejaa,baridi ya kufa mtu kwa baadhi ya vipindi. Wazawa wa eneo hilo wengi ni Wameru na Wamasai. Kuna Prof mzungu anayefadhili Advance,jina lake Emil.
safi sana wewe unaijua vizuri,pia ni ya mchanganyiko wa jinsia ukifika mazingira yanakatisha tamaa ila ukikaza lazima utoke na 1 ya maana!!! kusoma kisimiri ni kama kujifunza mambo mengine usiyoyajua ila yapo Tanzania mfano mashamba ya bangi ni mengi tu kule,pia Alevel huwa wanakusanywa toka mikoa takriban yote ya bara kwa hizo combination mbili......kuna ufadhiri wa mswirzland ....so proud of my former school!!!!
 
Kwa mtoto anayependa kusoma na iseyependa mambo mbadala anapokuwa shule, hiyo shule ni nzuri sana sana sana. Matokeo yaliyotoka ya mwisho ya kidato cha sita yanajieleza.
 
M nmemalza na ili darasa liloongoza safari hii.....ni bonge la xul kwa ufaulu ..wanafunzi wanaushirikiano knoma ....ukenda kule ujue ushafaulu sema tu uamue utoke na 1 o 2 ya ngap?
 
shule ndo imeongoza kitaifa hii. sijui kama mtoa mada ana habari, maana tangu alipotupia mada yake hajaonekana tena licha ya kuwa wadau wako bize sana kumpa maelezo kadri wanavyoijua hii shule.
 
ni bonge la shule mzee nimeingia hapo 2006 nilishaondoka IPO wilaya ya arumeru INA mazingira mazuri sana ya kusomea so mpeleke tu wala usisite .. trust me sir
 
pia kama haupo na usafiri wa private unaweza fika stend ya mabasi yaendayo mikoani ukaulizia gari zinazoenda kisimiri zipo na zinafika hadi shuleni zinatoka arusha mjini saa saba na robo
 
safi sana wewe unaijua vizuri,pia ni ya mchanganyiko wa jinsia ukifika mazingira yanakatisha tamaa ila ukikaza lazima utoke na 1 ya maana!!! kusoma kisimiri ni kama kujifunza mambo mengine usiyoyajua ila yapo Tanzania mfano mashamba ya bangi ni mengi tu kule,pia Alevel huwa wanakusanywa toka mikoa takriban yote ya bara kwa hizo combination mbili......kuna ufadhiri wa mswirzland ....so proud of my former school!!!!
Isije ikawa ufaulu wake unaendana na bangi nibangue nipate division one maana jamaa kasema kuna mashamba ya bob marley ya kutosha
 
Back
Top Bottom