- Thread starter
- #21
Unajua wengi wanatumia tu thursday sjajua kwa nn **** zile mcm wcw kama ntakua sahihi
ubaya wa sisis watz hua tunapenda kuiga kila kitu na kujifanya tunajua kumbe wakati mwingine ni bora tu ukawa mshamba ukauliza hapo ndo uanze kutumia neno fulani