Ukisikia ushamba unaelewa nini?

Ukisikia ushamba unaelewa nini?

OTHMAN BEY

Member
Joined
Jun 20, 2026
Posts
74
Reaction score
123
Watu wengi hasa wakaao mjini wana tabia ya kuita watu wa kijijini ni washamba kwani kwa kawaida kwani ushamba ni nini maoni yenu wakuu?

»»»»»»»»»
KARIBUNI
»»»»»»»»»
 
Alafu hao wa mjini ndio washamba kupitiliza, hawajui kutumia fursa, watu wanatoka vijijini wanatajirika, wanamiliki nyumba, wa mjini wapo tu wanashindana kulewa, kutikisa makalio kwenye mitandao ya kijamii, kuvaa uchi na kuuza mikundu alafu hayo ndio wanaita ujanja.
 
Ushamba ni ujuaji(kujifanya mwerevu wakati sio), ulimbukeni, uchawa, umbea, ushambenga, n.k
 
Alafu hao wa mjini ndio washamba kupitiliza, hawajui kutumia fursa, watu wanatoka vijijini wanatajirika, wanamiliki nyumba, wa mjini wapo tu wanashindana kulewa, kutikisa makalio kwenye mitandao ya kijamii, kuvaa uchi na kuuza mikundu alafu hayo ndio wanaita ujanja.
Kinacho waponza watu wa vijijini ni ile hali ya ujuaji mwingi na ku-mind other people's business. Akijiona kafanikiwa yeye basi anataka awe ndio mwalimu wako na boss wako pia ikiwezekana.
 
Mtu mwenye chumba kimoja huku Dar es salaam na Choo cha kuchangia anamuita mshamba mtu mwenye miradi yake kijijini
 
Mshamba au ushamba ni ile hali ya kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida tu,ila hata wewe ukilizowea jambo hilo na kuliona ni la kawaida,basi ushamba wako unakua umeishia hapo kwenye jambo hilo,

Kwa maana hiyo,kila mmoja wetu anaweza kua mshamba kwenye jambo fulani na kwa wakati wake,naona watu wanachanganya neno ushamba na neno ujinga.
 
"Mshamba" ni neno la kejeli tu. Utaitwa mshamba mtu asipokubaliana na wewe hata kwa jambo dogo tu.

Neno lenyewe limetokana na "shamba". Watu wa mjini walijiona wanafaidi sana.

Kuna muda ushamba ni mzigo, na kuna muda ushamba ni faida pia.
Ooh okay! Kwahiyo wanaosemaga ushamba +confidence ni combinenga mbaya huwa wanamaana gani?
 
Ushamba ni mtu anayekuwa na Tabia za Shambani ( kwenye Utajiri) wewe unapanda ukoka yeye anapanda Bustani ya mboga mboga
#Kwishaaa
 
Naweza sema ni kile kitendo cha kutoelewa kitu ambacho wengi wanakielewa
 
Alafu hao wa mjini ndio washamba kupitiliza, hawajui kutumia fursa, watu wanatoka vijijini wanatajirika, wanamiliki nyumba, wa mjini wapo tu wanashindana kulewa, kutikisa makalio kwenye mitandao ya kijamii, kuvaa uchi na kuuza mikundu alafu hayo ndio wanaita ujanja.
Huwo sio ushamba uko ni kuona na kutumia fursa huwezi sema mtu alietoka kijijini akaja fanikiwa town uwo ni ujanja hapana, maana hao wanaotoka kijijini na kuja kufanikiwa twn ni 1 kati ya 500

Godlove ametoka kijijini amekuja twn amefanikiwa, je unazan kuna vijana wangapi walozaliwa twn wamefanikiwa mara 100 zaidi yake na hawaongei wako kmy na ata hawajulikan. So kwa maelezo madogo tu Godlov ni
 
Naweza sema ni kile kitendo cha kutoelewa kitu ambacho wengi wanakielewa

Kondomu ni kwaajiri ya kuvaa pale unapo taka kufanya mapenzi sasa mtu akiichukua na kuanza kuitafuna kama jojo maana yake uyo ni mshamba awe ni tajiri awe masikini

Shida ya watu wengi tunachanganga ushamba na tabia, tunasahau mtu yyte anaweza kuwa mshamba kutokana na mazingira haijalishi ni tajiri or maskini, wa mjini or kijijini

Majivuno ulimbukeni uchawa izo ni tabia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom