Naomba kujuzwa Shule ya sekondari nzuri kwa mtoto wa kike

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,105
Heshima mbele wakuu,

Binti yangu yupo darasa la saba kwa sasa. Ninaanza kufanya prior arrangement mapema kutafuta shule nzuri ya sekondari kwa mtoto wa kike

Ninachohitaji:
1. Iwe nzuri kitaaluma.
2. Kimazingira.
3. Kimalezi.

I prefer shule inayoendeshwa na taasisi ya kikatoliki. Mtoto anasoma hapa hapa jijini Dar es Salaam.

WHAT WAS ON MY MIND:
1. Loyola Secondary and High School: A friend of mine has told me kwamba Loyola wana utaratibu wao kwamba mtoto akiwa admiited anasoma kwanza English course kwa mwaka mzima something which is not necessary for my daughter cause she schools in a private school and she is good in English.

2. St. Marian Girls Bagamoyo.

3. St. Mary Mazinde Juu.

4. Lufungila Girls (Korogwe?) Nimeambiwa shule hii wapo vizuri sana kitaaluma.

5. Feza Girls (Nasikia wapo vizuri kitaaluma but sina uhakika kuhusu upande wa malezi hasa kwa.mtoto ambae ni mkatoliki)

6.St. Francis Mbeya, nimeambiwa hawa wapo vizuri sana kitaaluma kimazingira na.kimalezi na kwamba mtoto wako akipata nafasi hapo basi be sure that she will perform better in the inal exams.

Please wajuvi wa mambo fungukeni tafadhali. Kama unafahamu vizuri kuhusu shule nilizozitaja hapo juu au kama kuna shule nyingine unaijua please funguka.

With much thanks in advance
 
Girls schools za Catholics ni nzuri sana issue ni uwezo wa kiakili kwa mtoto kupata .Ushindane wa hizo shule wa mtihani wa kujiunga sio lelemama

St Francis Mbeya na Marian nk huwa mitihani ya kujiunga inafanyika siku moja. Kwa hiyo Mzazi huwezi chukua fomu kote sababu mitihani huwa Siku moja kwenye shule Kali za Catholics za wasichana. Hiyo list umeweka ila fomu kabla kuchukua uliza interview lini usije beba mifomu ya shule kibao wakati
tarehe ya kufanya mtihani ni moja
 
Girls schools za Catholics Ni nzuri Sana issue Ni uwezo wa kiakili.kwa mtoto kupata .Ushindane wa hizo shule wa mtihani wa kujiunga sio lelemama

St Francis Mbeya na Marian nk huwa mitihani ya kujiunga inafanyika Siku moja.Kwa hiyo Mzazi huwezi chukua fomu.kote sababu mitihani huwa Siku moja kwenye shule Kali za Catholics za wasichana .Hiyo list umeweka ila fomu.kabla kuchukua uliza interview lini usije beba mifomu ya shule kibao wakati
tarehe ya kufanya mtihani Ni.moja
Asante Sana kaka
 
Mpeleke huruma girls Dodoma matokeo ya form4 walikuwa 10bora inamilikiwa na masista wa St gemma Dodoma.
hapo ni full na sala na masomohutajuta
 
Mpeleke huruma girls Dodoma matokeo ya form4 walikuwa 10bora inamilikiwa na masista WA St gemma Dodoma.
hapo ni full na sala na masomohutajuta
Asante Sana kaka
 
Kwa Dar es salaam shule za katoliki nzuri ni St Joseph Mellium iko Goda/Mbezi juu.Nyingine kama Marian Girls ziko Pwani sio Dar ila kuna shule ni mchanganyiko inaitwa Centennial Christian Seminary iko mpakani mwa Pwani na Dar ni mchanganyiko iko number 13 shule bora kitaifa ni wakristo wa kikorea-Presbyterian church ni nzuri na ina maadili ya kikiristo .na nidhamu ya hali ya juu.
 
Heshima mbele wakuu,

Binti yangu yupo darasa la saba kwa sasa. Ninaanza kufanya prior arrangement mapema kutafuta shule nzuri ya sekondari kwa mtoto wa kike

Ninachohitaji:
1. Iwe nzuri kitaaluma.
2. Kimazingira.
3. Kimalezi.

I prefer shule inayoendeshwa na taasisi ya kikatoliki. Mtoto anasoma hapa hapa jijini Dar es Salaam.

WHAT WAS ON MY MIND:
1. Loyola Secondary and High School: A friend of mine has told me kwamba Loyola wana utaratibu wao kwamba mtoto akiwa admiited anasoma kwanza English course kwa mwaka mzima something which is not necessary for my daughter cause she schools in a private school and she is good in English.

2. St. Marian Girls Bagamoyo.

3. St. Mary Mazinde Juu.

4. Lufungila Girls (Korogwe?) Nimeambiwa shule hii wapo vizuri sana kitaaluma.

5. Feza Girls (Nasikia wapo vizuri kitaaluma but sina uhakika kuhusu upande wa malezi hasa kwa.mtoto ambae ni mkatoliki)

6.St. Francis Mbeya, nimeambiwa hawa wapo vizuri sana kitaaluma kimazingira na.kimalezi na kwamba mtoto wako akipata nafasi hapo basi be sure that she will perform better in the inal exams.

Please wajuvi wa mambo fungukeni tafadhali. Kama unafahamu vizuri kuhusu shule nilizozitaja hapo juu au kama kuna shule nyingine unaijua please funguka.

With much thanks in advance
Nakushauri mpeleke ahmes japo ni mixture but elimu atakayotoka nayo sio ya nchi hii haijawah shuka top 5 kwa advance na o level but ni wazo tu nmesomea hapo ni juhudi kubwa za walimu na non teaching staff zinatumika
 
Nakushauri mpeleke ahmes japo ni mixture but elimu atakayotoka nayo sio ya nchi hii haijawah shuka top 5 kwa advance na o level but ni wazo tu nmesomea hapo ni juhudi kubwa za walimu na non teaching staff zinatumika
Mkuu, ulipata shule ipi? Mie binti yangu yupo darasa la sita huwa ninatamani kumpeleka Precious Blood (shule ya kikatoliki) huko Arusha ila kwa namna ilivyo-perform mwaka huu sijui namna competition itakavyozidi kuwa kali.

Shule nyingine nzuri ni St. Mary's Mazinde Juu ipo Tanga nasikia inafundisha vizuri sana, malezi bora ya kikatoliki na pia inafundisha mtoto kufanya kazi so ni whole package kwa mtoto.
 
Kwa Dar es salaam shule za katoliki nzuri ni St Joseph Mellium iko Goda/Mbezi juu.Nyingine kama Marian Girls ziko Pwani sio Dar ila kuna shule ni mchanganyiko inaitwa Centennial Christian Seminary iko mpakani mwa Pwani na Dar ni mchanganyiko iko number 13 shule bora kitaifa ni wakristo wa kikorea-Presbyterian church ni nzuri na ina maadili ya kikiristo .na nidhamu ya hali ya juu.
Asante sana kwa taarifa njema kuhusu Centennial, nayo nitaifuatilia nijue vizuri kuhusu performance yake ya nyuma.
Lakini pia nimeipenda kwa sababu ni mchanganyiko, mchanganyiko ni nzuri sana kwa makuzi ya kijana.

Je ada ni kiasi gani kwa mwaka?
 
Asante sana kwa taarifa njema kuhusu Centennial, nayo nitaifuatilia nijue vizuri kuhusu performance yake ya nyuma.
Lakini pia nimeipenda kwa sababu ni mchanganyiko, mchanganyiko ni nzuri sana kwa makuzi ya kijana.

Je ada ni kiasi gani kwa mwaka?
Ada wakati kijana wangu anamaliza 2021 tulikuwa tunalipa around 3.5m kwa three installments.
 
Ada wakati kijana wangu anamaliza 2021 tulikuwa tunalipa around 3.5m kwa three installments.
Okay ada yake siyo mbaya sana, sema namna ya kuingia hapo nadhani inaweza kuwa ngumu kwani kwa ubora wake haikosi kuwa na ushindani wa juu sana!
 
Wakuu UPOPO muuza ubuyu

Naona mlijiunga JF mwaka mmoja na tofauti ya mwezi mmoja tu. Na posts zenu wote ni elfu 3. Hii ni coincidence??

Lastly: Shukuran kwa comments zenu ngoja na mimi nijipange kupeleka binti huko
 
Wakuu UPOPO muuza ubuyu

Naona mlijiunga JF mwaka mmoja na tofauti ya mwezi mmoja tu. Na posts zenu wote ni elfu 3. Hii ni coincidence??

Lastly: Shukuran kwa comments zenu ngoja na mimi nijipange kupeleka binti huko
Aisee, sikuwahi kulifuatilia hilo la kufanana tarehe ya kujiunga pamoja na idadi ya post, hii kwa kweli ni coincidence tu!

Wala usidhani sis ni mtu mmoja mpiga debe wa Centennial, hiyo ni shule kubwa sana haihitaji chawa
 
Aisee, sikuwahi kulifuatilia hilo la kufanana tarehe ya kujiunga pamoja na idadi ya post, hii kwa kweli ni coincidence tu!

Wala usidhani sis ni mtu mmoja mpiga debe wa Centennial, hiyo ni shuke kubwa sana haihitaji chawa
safi sana wazee wangu nawakubali sana.
 
Pius High School ni shule ya bweni na kutwa Kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Toangoma-Temeke umbali wa kilometa Moja kutoka kongowe mwisho kando ya barabara iendayo mjimwema. Shule Inapokea wanafunzi wanaohitaji kujiunga na masomo ya kidato Cha Tano Kwa mwaka 2023/2024 Kwa tahasusi zifuatazo: HGE, HKL, HGK, PCM, PCB, EGM, CBG na PGM. Sifa za muombaji:
1. Awe amemaliza kidato Cha nne 2022
2. Awe na ufaulu wa angalau D Moja na C mbili katika tahasusi anayotaka kusoma.
3. Wazazi/walezi wawe na uawezo wa kulipa ada.
Shule pia Ina nafasi za kuhamia Kwa kidato Cha kwanza, tatu na sita. Shule Inapokea watahiniwa wa kujitegemea na wanaofanya mtihani WA maarifa. Ada zetu ni nafuu na hulipwa Kwa awamu. Kwa mawasiliano zaidi tafadhali piga 0763256631/0613162459 au fika shuleni. Karibuni.
Bosi, naona umeamua kutumia fursa ya uzi huu.

Vipi lakini, mbona kwenye tangazo lako hauongelei kuhusu ubora wa shule yako pamoja na ufaulu wa wanafunzi wake?
 
Back
Top Bottom