Kuchenza anacheza sana ndo maana anataka kuinuka zaidiMi sijui, Ila kukutahadharisha tu "Form five inatakiwa awe ameshaanza kuchezea timu as a professional player".
Fountain gateMsaada mwenye kujua shule ya kidato cha tano yenye kufundisha mchezo wa mpira wa miguu hapa Tanzania au nje ya Tanzania anipe contact zao.
Fountain Gate na Alliance school ya MwanzaMsaada mwenye kujua shule ya kidato cha tano yenye kufundisha mchezo wa mpira wa miguu hapa Tanzania au nje ya Tanzania anipe contact zao.