Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,163
- 11,483
Naomba anayejua utaratibu wa kumuhamisha mwanafunzi aliyechaguliwa kuingia kidato cha tano PCM katika shule za bweni za serikali kutoka (mikoani) kumpeleka shule ya kutwa (day) hapa Dar es Salaam.