Naomba kujuzwa juu la hili la Kijeshi

Rank ya juu kimafunzo ya kijesh ni field marshal. Hawa ndugu yangu ndo wale wanaitwa beyond the human ability. Yaan zaid ya uwezo wa kibinadamu ....but kwa Africa hii nipo mim tu na IDD amin wa Uganda ...sema huyu jamaa alijipa hik cheo
Na muamar gadafi pia alikua field masha africa walikua wawili tu hao asia ni saddam hisein na yasir araphat cuba fidel castrol kiduku na yeye inasemekaba kua ni field masha sina uhakika na america sijui kama wapo
 
Mkuu organization ya vyombo vya usalama ni suala pana sana.

Majeshi yana matawi mbalimbali ili kupambana na changamoto za ulinzi na usalama; na hayo matawi yana vikosi vya aina mbalimbali katika kutimiza hayo malengo.

Commandos ni kikosi tu ndani ya jeshi chenye mafunzo ya ziada kwenye vifaa na mbinu ili kupambana kwenye maeneo ambayo wanajeshi wa kawaida hawawezi.

Kuhusu mkuu wa majeshi.

Huyu ni mtawala tu, amesomea namna ya kuongoza wanajeshi.

MP - Military Police.

Jeshini wana mfumo wao wa nidhamu, hawa ndio maafande wao.

TISS

Idara ya ujasusi Tanzania, sio sehemu ya jeshi

Swali langu ni je? Ni levo gani yenye mafunzo makali na ya juu zaidi katika vitengo vya ulinzi na usalama?

Inategemea na unaweza hata usijue vikosi maalum vilivyopo. Polisi Tanzania wana vikosi vyao maalum, kupambana na ugaidi, utekaji na vitu vya aina hiyo. Najua jeshi la magereza wana vikosi vyao maalum (sio wa kuchezea hata kidogo, hata ukiwa Commando wa JWTZ, ukifika kwao unakaa 😁 😁 ). JWTZ wana special units 2 (zinazojulikana). Ni ngumu kujua wapi ni noma lakini naamini commandos wa JWTZ watakuwa na mafunzo makali zaidi, maana hata majeshi ya wenzetu special forces za majeshi mafunzo yake sio ya mchezo.

Special Air Services wa UK mwisho wa mafunzo wana test ya kutembea km 64 na vifaa vyote vya komando 30Kg ndani ya masaa 20. Na wakimaliza hapo wanakimbia km 6.4 na kuogelea km 3.2; kama ni kimeo utakufa.

SAS selection test
 
Hivi kwanini tusiwe na utamaduni mzuri wa kutojibu vitu tusivyovijua ili wanaovijua wakija kujibu wasimchanganye asiyejua anayetaka kujua?mtu anajibu jambo unaona kabisa huyu hata knowledge ya kawaida kabisa au ile ndogo kabisa kuhusu hiki kitu hana lakini nae kajifanya anakijua kajibu.sasa nakubaliana rasmi na wale wanaosema jamii forum ilikuwa ya watu wenye akili zamani sasa hivi imejaa watoto wa shule na watu wa facebook kibao ambao hawataki hata kujifunza utamaduni wa jamii forums wa matumizi ya akili na busara
 
Mkuu organization ya vyombo vya usalama ni suala pana sana.

Majeshi yana matawi mbalimbali ili kupambana na changamoto za ulinzi na usalama; na hayo matawi yana vikosi vya aina mbalimbali katika kutimiza hayo malengo.

Commandos ni kikosi tu ndani ya jeshi chenye mafunzo ya ziada kwenye vifaa na mbinu ili kupambana kwenye maeneo ambayo wanajeshi wa kawaida hawawezi.

Kuhusu mkuu wa majeshi.

Huyu ni mtawala tu, amesomea namna ya kuongoza wanajeshi.

MP - Military Police.

Jeshini wana mfumo wao wa nidhamu, hawa ndio maafande wao.

TISS

Idara ya ujasusi Tanzania, sio sehemu ya jeshi

Swali langu ni je? Ni levo gani yenye mafunzo makali na ya juu zaidi katika vitengo vya ulinzi na usalama?

Inategemea na unaweza hata usijue vikosi maalum vilivyopo. Polisi Tanzania wana vikosi vyao maalum, kupambana na ugaidi, utekaji na vitu vya aina hiyo. Najua jeshi la magereza wana vikosi vyao maalum (sio wa kuchezea hata kidogo, hata ukiwa Commando wa JWTZ, ukifika kwao unakaa ). JWTZ wana special units 2 (zinazojulikana). Ni ngumu kujua wapi ni noma lakini naamini commandos wa JWTZ watakuwa na mafunzo makali zaidi, maana hata majeshi ya wenzetu special forces za majeshi mafunzo yake sio ya mchezo.

Special Air Services wa UK mwisho wa mafunzo wana test ya kutembea km 64 na vifaa vyote vya komando 30Kg ndani ya masaa 20. Na wakimaliza hapo wanakimbia km 6.4 na kuogelea km 3.2; kama ni kimeo utakufa.

SAS selection test
Hao wa Jeshi la magereza nadhani ndio KM hao.. aisee, hao jamaa hapana, sio mchezo hata kidogo.. heri akushike mwanajeshi akutese na zile adhabu zao sio upate kipigo cha KM
 
Field marshal ndio cheo cha mwisho kabisa katika jeshi uyo anakua ni zaidi ya komando, kwa afrika sidhani kama wapo
Unaweza kuwa Field marshal lakini usiwe Commando.....

Commando ni kitengo Special ndani ya Jeshi, unaweza kuwa Askari mkubwa Jeshini ila usiwe Tiss pia!
 
Bila shaka mmebahatika kuamka salama kama ilivyo kwa mzee wa kasumba

Langu ni hili

Naomba kujuzwa kuhusiana na masuala ya kijeshi na kiulinzi kwa ujumla wake. Hivi katika jeshi ni watu gani wenye mafunzo ya juu kabisa, yaani top top.

Nishawahi kusikia kuwa KOMMANDO ni miongoni mwa watu wenye mafunzo ya juu zaidi. Je? lina ukweli zaidi

Lakini vipi kuhusu mkuu wa majeshi je naye ni Komando.

vipi kuhusu wale MP jeshini?

Nasikia kuna hao wanaitwa TISS.

Swali langu ni je? Ni levo gani yenye mafunzo makali na ya juu zaidi katika vitengo vya ulinzi na usalama?
'Uwasilishaji' wako na jinsi unavyoyauliza 'Kitoto' sana haya 'Maswali' yako inaonyesha Wewe ni 'Mwanausalama' ambaye 'hujakwiva' vizuri kabisa.
 
Na muamar gadafi pia alikua field masha africa walikua wawili tu hao asia ni saddam hisein na yasir araphat cuba fidel castrol kiduku na yeye inasemekaba kua ni field masha sina uhakika na america sijui kama wapo
El Sis pia ni field marshal
 
Acha masihara mkuu. We uliskia wapi kwamba kuna commando polisi? Bongo kuna aina mbili tu za commandos, special forces (utawakuta kama wote 92 Ngerengere) na marine commando (ukienda Navy Kigamboni utawakuta). Bawa kifuani na rangi ya kofia ndo kinachowatambulisha. Cha kweli pekee ulichosema hapo ni kuwa commando sio lazima awe na cheo kikubwa, kuna mpaka private commando
Yah ndiyo ilivyo sikupingii. Ila habari za komando polisi sijui kaziibulia wapi?
 
Mkuu organization ya vyombo vya usalama ni suala pana sana.

Majeshi yana matawi mbalimbali ili kupambana na changamoto za ulinzi na usalama; na hayo matawi yana vikosi vya aina mbalimbali katika kutimiza hayo malengo.

Commandos ni kikosi tu ndani ya jeshi chenye mafunzo ya ziada kwenye vifaa na mbinu ili kupambana kwenye maeneo ambayo wanajeshi wa kawaida hawawezi.

Kuhusu mkuu wa majeshi.

Huyu ni mtawala tu, amesomea namna ya kuongoza wanajeshi.

MP - Military Police.

Jeshini wana mfumo wao wa nidhamu, hawa ndio maafande wao.

TISS

Idara ya ujasusi Tanzania, sio sehemu ya jeshi

Swali langu ni je? Ni levo gani yenye mafunzo makali na ya juu zaidi katika vitengo vya ulinzi na usalama?

Inategemea na unaweza hata usijue vikosi maalum vilivyopo. Polisi Tanzania wana vikosi vyao maalum, kupambana na ugaidi, utekaji na vitu vya aina hiyo. Najua jeshi la magereza wana vikosi vyao maalum (sio wa kuchezea hata kidogo, hata ukiwa Commando wa JWTZ, ukifika kwao unakaa ). JWTZ wana special units 2 (zinazojulikana). Ni ngumu kujua wapi ni noma lakini naamini commandos wa JWTZ watakuwa na mafunzo makali zaidi, maana hata majeshi ya wenzetu special forces za majeshi mafunzo yake sio ya mchezo.

Special Air Services wa UK mwisho wa mafunzo wana test ya kutembea km 64 na vifaa vyote vya komando 30Kg ndani ya masaa 20. Na wakimaliza hapo wanakimbia km 6.4 na kuogelea km 3.2; kama ni kimeo utakufa.

SAS selection test
Ufafanuzi murua kabisa.
 
Na muamar gadafi pia alikua field masha africa walikua wawili tu hao asia ni saddam hisein na yasir araphat cuba fidel castrol kiduku na yeye inasemekaba kua ni field masha sina uhakika na america sijui kama wapo

Mzee unasikiliza sana stor za vijiweni tatzo
 
Bila shaka mmebahatika kuamka salama kama ilivyo kwa mzee wa kasumba

Langu ni hili

Naomba kujuzwa kuhusiana na masuala ya kijeshi na kiulinzi kwa ujumla wake. Hivi katika jeshi ni watu gani wenye mafunzo ya juu kabisa, yaani top top.

Nishawahi kusikia kuwa KOMMANDO ni miongoni mwa watu wenye mafunzo ya juu zaidi. Je? lina ukweli zaidi

Lakini vipi kuhusu mkuu wa majeshi je naye ni Komando.

vipi kuhusu wale MP jeshini?

Nasikia kuna hao wanaitwa TISS.

Swali langu ni je? Ni levo gani yenye mafunzo makali na ya juu zaidi katika vitengo vya ulinzi na usalama?
Ndugu wewe ni jasusi wa kibeberu Bila shaka
 
Bila shaka mmebahatika kuamka salama kama ilivyo kwa mzee wa kasumba

Langu ni hili

Naomba kujuzwa kuhusiana na masuala ya kijeshi na kiulinzi kwa ujumla wake. Hivi katika jeshi ni watu gani wenye mafunzo ya juu kabisa, yaani top top.

Nishawahi kusikia kuwa KOMMANDO ni miongoni mwa watu wenye mafunzo ya juu zaidi. Je? lina ukweli zaidi

Lakini vipi kuhusu mkuu wa majeshi je naye ni Komando.

vipi kuhusu wale MP jeshini?

Nasikia kuna hao wanaitwa TISS.

Swali langu ni je? Ni levo gani yenye mafunzo makali na ya juu zaidi katika vitengo vya ulinzi na usalama?
Aina ya nyuzi za kitoto na zinazoboa zaidi kwasasa jamiiforums.
 
Back
Top Bottom