Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 926
- 1,640
Habari Wana Jamvi,
Wakubwa Zangu Shikamoo.
Natumaini Mungu Anabariki kwa Kila Changamoto mpya mnazopitia
Naombeni Ushauri, Maoni, Kujuzwa kuhusu Hali Nayopitia kwa sasa
Nimekumbwa na Tatizo La Hair Loss Na ninavoona sio hair loss ya Kawaida Ni upara kabisa.
Maana Nywele za Mbele Zinaisha, Zinakuwa Dhaifu(Kupoteza density), Pembeni Kunajichonga Kwa sababu Ya Nywele Kuisha. Mbaya Zaidi Niko below 25, Baba yangu Ana Upara lakini Umeanza Akiwa 35+
Je, kuna Dawa Yoyote za kuondoa Upara au Kuchelewesha Hilo. Je, vipi kuhusu Dawa?
Kuna dawa Nazoziona zinatangwazwa Instagram N.k kuna Mtu alishajaribu au anajua lolote?
Nimeskia Pia Kuhusu Minoxidil Je Kuna Yoyote Anaifahamu? inasaidia? Mbali na Hiyo Kuna Dawa yoyote au Niia Yoyote ya asili au Mitishamba.
Naomba Maoni/ushauri wako juu ya chochote unachokijua
NB: Ni muhimu kupambana Na Tatizo kabla ya kukubaliana Nalo.
Natanguliza Shukrani.
Wakubwa Zangu Shikamoo.
Natumaini Mungu Anabariki kwa Kila Changamoto mpya mnazopitia
Naombeni Ushauri, Maoni, Kujuzwa kuhusu Hali Nayopitia kwa sasa
Nimekumbwa na Tatizo La Hair Loss Na ninavoona sio hair loss ya Kawaida Ni upara kabisa.
Maana Nywele za Mbele Zinaisha, Zinakuwa Dhaifu(Kupoteza density), Pembeni Kunajichonga Kwa sababu Ya Nywele Kuisha. Mbaya Zaidi Niko below 25, Baba yangu Ana Upara lakini Umeanza Akiwa 35+
Je, kuna Dawa Yoyote za kuondoa Upara au Kuchelewesha Hilo. Je, vipi kuhusu Dawa?
Kuna dawa Nazoziona zinatangwazwa Instagram N.k kuna Mtu alishajaribu au anajua lolote?
Nimeskia Pia Kuhusu Minoxidil Je Kuna Yoyote Anaifahamu? inasaidia? Mbali na Hiyo Kuna Dawa yoyote au Niia Yoyote ya asili au Mitishamba.
Naomba Maoni/ushauri wako juu ya chochote unachokijua
NB: Ni muhimu kupambana Na Tatizo kabla ya kukubaliana Nalo.
Natanguliza Shukrani.