Avatar yako inaniachaga hoiembu ngoja nitoke nje niuangalie vizuri
Hahahaaa mbavu zangu....dahUnaweza kuta ndo bustani ya edeni hyo ujue eti..!! Full mapalachichi na matikiti maji
Acha basi banaaa.Mi wakati mwingine hao mnaowaona, nawaona wanatembea kabisa na saa nyingine hata singeli ya manfongo ikipigwa nao wanacheza kabisa
Hahahahahahaahembu ngoja nitoke nje niuangalie vizuri