Naomba kujuzwa, ile picha inayoonekana pale mwezini ni nini!!

Wakuu poleni na majukumu na harakati za hapa kasi tuu!!ni mda mrefu kidogo sikuwa hapa jukwaani kutokana na kazi!!vilevile niwatakie heri ya chrissmass na mwaka mpya! Namshukuru mungu nimerudi salama huko nilipoluwa!!katika pitapita zangu nimeulizwa hili swali nikashindwa kujibu maana mimi sio mtaalam wa hizi sayansi!!hivi ukitizama mwezi kwa makini pale kama kuna picha ya mtu anaonekana!!na ukitizama kwa haraka haraka unaweza ona kama kuna mtu kabeba mtoto mgongoni na kichwani kabeba mzigo wa kuni mara myingine hua kama kakaa anasukuma kitu kama wale wanawake wa kizamani wanasaga mahindi kwenye jiwe au mmara inaonekana kama **** mwanamke anatembea je!!!kuna ukweli wowote kwenye kuwa kunanpicha au ni mtizamo wangu wa kifikra!!naomba wataalam wanafafanulie hilo!!
ni ugumu wa maisha mkuu kura yako 2020 itumie vizuri sana kumuondoa mkolon mweus. Chezeya kiporo cha kande iliyochacha weyer lazima uone mauzauza mwezin na kuwatakia wanajamvi heri ya krismas leo
 
Mkuu vipi kwa mtizamo wako wewe unaona nini kuwa muwazi!!hapa tunafundishana!
Mbona maelezo yangu hapo juu yameeleza kila kitu wazi, yaani hiyo ni mental issue tu na sio kwamba mental picture unayo ipata kutokana na kutazama mwezi basi hiko kitu kipo pale , aaah hakuna kitu
 
me naonaga watu wanakula hasa wakati nnapohisi njaa ndo nawaonaga clear
 
Ni ya hawa jamaa
 

Attachments

  • VID-20170108-WA0000.mp4
    149.2 KB · Views: 49
Zamani tuliambiwa ni mwanamke alienda kukata kuni siku ya Jumapili alivyojitwisha tu akayayuka na kutokea kule.
Ilikua ni nadra sisi kwenda kukata kuni Jumapili kutokana na hii hadithi.
 
Yale ni mabonde kwenye uso wa mwezi .Wakati mwingine ni vivuli vya vilima vilivyoundwa na mwanga wa jua.Kutokana na umbali mtazamo unakuwa kama picha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom