Umeniwahi mkuuMimi naonaga sawa tu
January asingepiga marufuku viroba ingekuwa je sijuindio wali unaanzia na wa ila ubwabwa unaanzia na u .. oky
Mgaa gaa na upwa HALI WALI MKAVU... hahahaUmeniwahi mkuu
JF ni shule mkuukumbe, sikufahamu hilo.
Hahaha hapo sijajua mkuu ilikuwaje wakasema hivyokwanini wahenga wasingesema " HALI UBWABWA MKAVU" badala ya "HALI WALI MKAVU" ?
Ubwabwa yaani Bokoboko??Wali ni ule ambao watu wazima huula. Umekauka vizuri na huliwa na mboga mbalimbali.
Ubwabwa ni wali kwenye maji maji, haujakauka. Mara nyingine huongezewa maziwa. Huu ni maalum sana kwa Wazee waliopoteza meno, watoto wadogo pamoja na wagonjwa.