Naomba kujua tofauti ya CVT ktk transmission

Cvt=continuously variable Transmission ni aina ya transmission inayotumia mkanda au pulley inayokupa mabadiliko ya mwendo kas nyongefu, inaongeza na kupunguza mwendo kas wa gari bila kuhama gear ambazo haina {shiftless}

AT= Automatic Transmission ni gearbox ambayo ina gear shift, kwa namba husika za gear lakin gear shifting inafanyika yenyewe bila kumuhusisha driver kutokana na mazingira jongefu ya wakat huo
 
Gari nilizoona Zina CVT ni mostly new models japo sio zote kama Toyota RACTIS, IST NEW MODEL
Japo Kuna aina 5 za transmission
1. Manual Transmission (MT)
2.Automated Manual Transmission (AM)
3.Continuously Variable Transmission (CVT)
4.Semi Automatic Transmission
5. Automatic Transmission
 
Gari nilizoona Zina CVT ni mostly new models japo sio zote kama Toyota RACTIS, IST NEW MODEL
Japo Kuna aina 5 za transmission
1. Manual Transmission (MT)
2.Automated Manual Transmission (AM)
3.Continuously Variable Transmission (CVT)
4.Semi Automatic Transmission
5. Automatic Transmission
Kwa nn siku hiz gar za manual new model za cc 1500 kushuka china adimu sana.?
 
Gari zenye CC 1500 zimebakia kwenye rally Tu. Manufacturer wanatengeneza manual transmission kwenye hayo magari
Sidhan naomba nitofautiane na wewe mkuu. Europe na hizi brand zingine wanatoa sana tu sema toyota kwa vile ndio katushika inabid tu twende nae. Peugeot, Renault volvo honda anatoa sana ila ndio mtu unaogopa kupata tabu ya spea
 
Sidhan naomba nitofautiane na wewe mkuu. Europe na hizi brand zingine wanatoa sana tu sema toyota kwa vile ndio katushika inabid tu twende nae. Peugeot, Renault volvo honda anatoa sana ila ndio mtu unaogopa kupata tabu ya spea
PureView yuko sawa kwenye hili. Gari manual zinapotea sokoni. Enzi hizo Automatic Transmtn zilikuwa option, ila kwa manufacturer wengi siku hizi ndio standard. Manual ni option. Wengine kama Mercs wamedrop kabisa manual transmtn kwenye baadhi ya models.

Defender mpya zote ni automatic
 
Kwa nn siku hiz gar za manual new model za cc 1500 kushuka china adimu sana.?
Za kazi gani sasa? Technology imekuwa gari ina control power transmission yenyewe, wewe unataka kuingilia huo mchakato, why my niga, why?
 
Wana JF!! Naomba kujua tofauti kati ya CVT engine na Automatic engine katika mode of engine transmission
Mkuu mimi si mtaalamu sana ila toka nimemiliki gari yenye gearbox ya CVT nimejitahidi kwa kadiri ninavyoweza nipate kuzielewa maana hizi gearbox zina matatizo mengi na gharama kuzimantain, ila ni cheap kwa manufacturer na kutokana na sheria kuwataka waongeze mileage per gallon use, CVT ina achieve hilo kwa kaisi cha 6-7% per galon.
Kwanza unapaswa kujua, gearbox ya kawaida iwe naual au automatic inakwua na meno ambayo yanazidiana ukubwa ili kutoa mzunguko tofauti wa matairi per engine rotation.
Lakini CVT haina meno hayo, yani CVT ni sawa ina gear moja tu. Lengo la CVT ni computer ya gari ina determine rpm bora ya engine kutokana na mazingira na uendeshaji wako halafu RPM hiyo inatumika kukupa speed tofauti za gari pasipo kuongeza rpm ya engine hiyo kama ilivyo kwenye gearbox za kawaida.
Yani in real sense unapokanyaga bati la kuongeza mafta kweney CVT si kwamba inaongeza rpm ya engine, bali ina determine kuwa unataka kuongeza speed na mkanda ulio ndani ya gearbox unahama. Ukiona mshale wa rpm unacheza kwa kupanda na kushuka ukapata feeling ya kubadilisha gear, jua ni fake programming kukupa tu feeling ya kwua gear zinabadilika ila si kweli hata kidogo. Na hii imeanza kufanyika walipoanza kuweka stepper motor kwenye gearbox za CVT maana watu walikwua wanachukia wasipopata hiyo deeling wanakuwa na hisia kuwa gari imenasa kweney gear moja. Kinachoamaua ni TCM ambayo kwa kutegemea taarifa kutoka kwa sensors na computer ya gari ndio inaamua mkanda uweje kwa wakati huo.
Bila hicho kwenye CVT gari inabidi ibaki kwenye rpm ile ile unapokanyaga pedal ya mafuta ila speed itaongezeka pasipo rpm kubadilika.
sasa inafaniksihaje hilo, ntajaribu baadae kukeleza kwa picha ila kwa sasa sina muda huo.
JE, CVT ni nzuri? Kwa kwakweli si nzuri zina majanga mengi ila ndio hivyo kwa manufacturers ni rahisi kutengeneza na wanalenga kukupa more mileage.
Mojawapo ya majanga ya CVT ni mkanda kutereza, sometimes gari kukobaki kwenye speed ileile, stepper motor kwua na shdia, TCM module kuzingua na majanga mengine kibao.
Na mbaya zaidi amfundi wengi hapa hawajui mambo haya. Nimepelekea fundi gari likwia na shida analiendesha anaonda mshale wa rpm unacheza ansema basi gearbox haina shida si unaona gear zinabadilika. Kauli yake hii inaonyesha kuwa hata hajui ile ni fake programmed feeling wala hakuna rpm inayobadilika.
 
Maono ya wazalishaj wa magari na kufanya vzur sokon kwa transmission nyingine sokon zaid ya manual, kunapelekea mahitaj ya AT au CVT kua juu sokon.
Kwa utafiti wangu mdogo magari mengi ya AT ni kutokea Japan na yaliyotengenezwa kwa soko la Japan.
 
Back
Top Bottom