Naomba kujua tofauti ya Telegram na WhatsApp

Naomba kujua tofauti ya Telegram na WhatsApp

esokero

Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
84
Reaction score
99
Wakuu telegram na WhatsApp kwangu naona ni mitandao inayofanana katika option mbalimbali.

Je iweje WhatsApp ifahamike na iwe na watumiaji wengi kuzid Telegram?

Mkujeni mnijibu
 
Telegram ilikuja baada ya developers wake kuona weakness za Whatsapp kama kudukuliwa, kikomo cha watu kwenye group, ulinzi wa mawasiliano na vingine
Telegram kwenye swala la ulinzi wako vizuri sana ndio maana Nchi kama Russia wameBan kutumika
Pia kuna mtandao mwingine unaitwa WeChat uko China ambao kwa mimi naweza kusema mambo mengi Whatsapp iliiga kutoka huo mtandao
 
Niliyobaini kwa telegram.
Unauwezo wa kujiunga kwenye group na ukikuta group imesetiwa vizuri unapata kuanzia sms ya kwanza hadi ya mwisho (siku ya kwanza group kuundwa). Hii ni setting.
Unauwezo wa kuweka robot akawa controller wa group kuzuia matusi, lugha chafu, kuwekwa kwa link ambazo hazitakiwi na hata kumhoji mtu maswali ndipo aingie kwa group.
Member kwa group ni wengi.
Mtandao wake uko vizuri zaidi kwenye voicecalls na videocalls.
Kiufupi hakuna kitu kipya au chochote kwenye wasap cha kuipiku telegramu.
Groups za wasap huwez ziweka private au public.
Telegram group unaiweka public na yeyote duniani anaweza join either by link, kuandika tu jina la group au kua added manually
 
Hakuna ulichojibu Zaid umejimwambafai tuu
Yuko sahihi na sio kujimwambafai.

Kwenye Whatsapp grps ni rahisi sana mtu kupata namba yako . Telegram haiwezekaniki kabisa. Itabidi afanye kama Jf umpe namba hadharani kwenye grp au mwende chemba. Hii ni moja ya feature nzuri sana. Na unajua mtu akipata namba anaweza fanya nini. Wajanja wote wanajikuta wako salama zaidi kwenye Telegram
 
kabla ya whatsapp mitandao ya instant message (IM) ilikuwa na servers ambako wanahifadhi message na pia kulikuwa na username ama pin ambazo zinamu identify mtu.

whatsapp wao wakaja kivingine kwanza wakawa wanahifadhi message zako kwenye simu yako na hivyo kuipa nguvu ukilinganisha na app nyengine na pia wakaondoa need for username na ikawa namba ya simu ndio inatumika, watu wenye namba yako pekee ndio wanaweza kukutumia message.

utofauti mkubwa wa whatsapp na telegram upo kwenye privacy na matumizi ya kifamilia. telegram yenyewe ni kila mtu anaweza fanya chochote anachotaka, kuna ngono mule, kuna mauaji, kuna piracy, kuna bangi, kuna kila kitu na vyote vinapatikana bila kujiunga group ama kufanya effort yoyote zaidi ya kuclick search na kutafuta unachotaka.
 
WhatsApp ni rahisi kudukuliwa Telegram no
WhatsApp ila limitations kwenye ma group.. Si zaidi ya 256 users .. Telegram inapiga mpaka laki moja bila shaka
WhatsApp kwenye ma group unaweza kutoka/ukatolewa na kurudi ama kurudishwa baada ya muda.. Telegram hawana hiyo.. Ukitoka umetoka
WhatsApp uki left unaonekana kwa wengine ume left.. Telegram hakuna hiyo kitu ni kimyakimya
WhatsApp ukijiunga leo kwenye group huwezi pata past history.. Telegram unapata kila kitu tangu day one

Etc... Na kazalika
Wakuu teregrem na WhatsApp kwangu naona ni mitandao inayofanana katika option mbalimbali je iweje WhatsApp ifahamike na iwe na watumiaji wengi kuzid TEREGRAM ،mkujeni mnijibu

Jr[emoji769]
 
🤣🤣🤣😂
WhatsApp ni rahisi kudukuliwa Telegram no
WhatsApp ila limitations kwenye ma group.. Si zaidi ya 256 users .. Telegram inapiga mpaka laki moja bila shaka
WhatsApp kwenye ma group unaweza kutoka/ukatolewa na kurudi ama kurudishwa baada ya muda.. Telegram hawana hiyo.. Ukitoka umetoka
WhatsApp uki left unaonekana kwa wengine ume left.. Telegram hakuna hiyo kitu ni kimyakimya
WhatsApp ukijiunga leo kwenye group huwezi pata past history.. Telegram unapata kila kitu tangu day one

Etc... Na kazalika

Jr
emoji769.png

Na kazalika

🤣🤣🤣😂[

Jr
 
Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz
 
Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz
Embu nitumie nione

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom