Naomba kujua tofauti ya Telegram na WhatsApp

Naomba kujua tofauti ya Telegram na WhatsApp

Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz
Sasa mbona iko vizuri hivyo lakini imepokelewa kwa uchache hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Telegram ilikuja baada ya developers wake kuona weakness za Whatsapp kama kudukuliwa, kikomo cha watu kwenye group, ulinzi wa mawasiliano na vingine
Telegram kwenye swala la ulinzi wako vizuri sana ndio maana Nchi kama Russia wameBan kutumika
Pia kuna mtandao mwingine unaitwa WeChat uko China ambao kwa mimi naweza kusema mambo mengi Whatsapp iliiga kutoka huo mtandao
Asante nimekupata
 
Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz
Asante nimekupata
 
Sasa mbona iko vizuri hivyo lakini imepokelewa kwa uchache hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Imepokelewa kwa wingi naona wewe unaangaza ma grp fulani ya uswahilini.

Wajanja na wengi wenye elimu yao wanalazimika kutumia whatsapp kwasababu ya contacts zao waliopo huko na kwenye T hawapo. Mi ni mmojawapo.

Nilichokasirika whatsapp mhuni fulani alini add kwenye grp aliita la kijanja bila mimi kutaka . Kucheki picha ni grp la watu wa ngono na picha zilizopo ni puchi zinaonekana katika mikao tofauti na akina dada wanashindana kujinadi.
 
Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz
[emoji848][emoji848][emoji848]Hebu jaribu
 
Ha ha safi sana, kudadadeeki kama hii kitu ni kweli whatsapp ni ngoma ya watoto, mi natumia T ila sikujua hiyo kitu. Hatari lakini ni salama
Go & try it, wallah you won't regret 🤣🤣🤣
 
Binafsi matumizi yangu ya Telegram asilimia kubwa ni kudownload movies,series na musics asilimia kubwa ya Movies zangu nachukua huko.
Sababu kubwa ni kua Torrents zinategemea sana seeders na leechers.. Pia nimefollow channels mbalimbali kama Jf wenyewe,Br footbal,skysports etc napata updates zote instantly...
Screenshot_20200204-004012_Telegram%20X.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibie twende basi huko telegram ukanielekeze vizuri [emoji3]
Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia telegram naweza kukutumia picha ya nono yangu lakini nikaset uione kwa sec 2 then itajifuta yenyewe automatic halafu wewe uko ukijarubu hata kuscreenshot inakugomea.
Pia files pics na makorokoro zake zinabaki huko huko haziji kwenye gallery kama ilivyo kwa whatsApp - hapa inawafavor wale wazee wa pilauz
Ata whasap unaeza ukaset, pics au videos zisiende kwny gallery
 
Well!, wengi wameeleza kuhusu Telegram

Kumbuka WhatsApp wanazo features zisizotambulika kwa wengi mfano;-

- Kuzuia kutokuungwa kwenye Groups pasi ya idhini yako. Au kuchagua wanaoweza kukuongeza katika group/s.

- Kufungua WhatsApp kwa kutumia Finger Print au kabla ya kutizama Chats za mtu.

- Kuzuia/Kutoruhusu (Eye Sign View na Blue Ticks) katika statuses au messages utakazotumiwa.

- Kuunganisha Calls mbili (Meeting Mode) na kusubiri Call ukiwa katika Call (Call Waiting)

- Files (Videos, Photos, Documents) Kuzuia zisiweze kuingia katika gallery yako.

- Kulink na Bots wanaoweza kusaidia kuendeleza WhatsApp uwapo na ubize au kufanya reminder ya masuala muhimu.

Na nyingine nyingi.
 
Tricks za kulink na bot mkuu
Well!, wengi wameeleza kuhusu Telegram

Kumbuka WhatsApp wanazo features zisizotambulika kwa wengi mfano;-

- Kuzuia kutokuungwa kwenye Groups pasi ya idhini yako. Au kuchagua wanaoweza kukuongeza katika group/s.

- Kufungua WhatsApp kwa kutumia Finger Print au kabla ya kutizama Chats za mtu.

- Kuzuia/Kutoruhusu (Eye Sign View na Blue Ticks) katika statuses au messages utakazotumiwa.

- Kuunganisha Calls mbili (Meeting Mode) na kusubiri Call ukiwa katika Call (Call Waiting)

- Files (Videos, Photos, Documents) Kuzuia zisiweze kuingia katika gallery yako.

- Kulink na Bots wanaoweza kusaidia kuendeleza WhatsApp uwapo na ubize au kufanya reminder ya masuala muhimu.

Na nyingine nyingi.
 
Kikubwa nnachopendea telegram ni channels means ukitaka channel ya muvi,ngumi,vitabu utapakua unachotaka hapo hata huhitaji net kwe simu unaweza connect to kwenye web telegram.wakati kwa whats app ni hadi sim pia iwe na bundle...
 
Back
Top Bottom