Sasa jamii yetu imeamka, sasa jamii yetu ni jamii ya watu wenye kiu ya maarifa, wakuu napenda kujuzwa software ambayo itaniwesha kuuza vitabu na machapisho mbali mbali ili niwafikie hadhira ya Waswahili kwa urahisi.
Ha ha watanzania hawana culture ya kusoma vitabu hiyo biashara mkuu itachacha.labda ungekuwa umbeya tena fupi fuppi i mambo marefu hatujazoea .tumezoea kutumia macho kuangalia movies na masikio tu kusikiliza miziki.
Ha ha watanzania hawana culture ya kusoma vitabu hiyo biashara mkuu itachacha.labda ungekuwa umbeya tena fupi fuppi i mambo marefu hatujazoea .tumezoea kutumia macho kuangalia movies na masikio tu kusikiliza miziki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.