Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
607
553
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
 
Baada ya kupitia mijadala mingi humu jf na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic n
of what use? Nilidhani tuungane tutengeneze magari, ndege , baiskeli , tugundue dawa za magonjwa yanayotukabiri, etc etc za african brand/flavour, bado tu mko kwenye dini!
 
of what ue? Nilidhani tuungn e tutengeneze magari, ndege , baiskeli , tugundue dawa za magonjwa yanayotukabiri, etc etcza african brand, bado tu mko kwenye dini!
Huwezi ukawa na fikira huru za kiuchumi wakati bado hujawa na fikira huru za kijmii yaani huna uhuru wa kifikira uweze kuteneza gari kweli?

Huna utamaduni na mila zako unazozimiliki leo ukamil8k8 kiwanda?
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Kama kitabu kitakuwa tofauti na rules za uganga,hicho kitakuwa chakwako
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Asee nikuhakikishie HALITAFANIKIWA KAMWE!

Walioanzisha wote tazama walivyojitoa sadaka

Mussa, Yesu, Muhammad

Sio jambo jepesi jepesi la kukaa kikundi cha wauza mbege mkaanza kuandika
 
Huwezi ukawa na fikira huru za kiuchumi wakati bado hujawa na fikira huru za kijmii yaani huna uhuru wa kifikira uweze kuteneza gari kweli?

Huna utamaduni na mila zako unazozimiliki leo ukamil8k8 kiwanda?
Mifumo yote ya fikra za uchumi na maendeleo ni copy na paste toka Magharibi, kipi urabuni kigeni.
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Hakuna haja ya kuvumbua gurudumu kwani lishavumbuliwa tayari. Wazungu walipokuja kuvamia Africa Babu zetu walikuwa na miungu yao. Walitumia miungu na mizimu yao kutaka kuwaondoa wazungu lakini ilishindikana. Kwanini? Kwa sababu miungu ya wazungu ina nguvu zaidi ya miungu ya waafrika! Tuifuate miungu na maarifa ya wazungu tutafanikiwa kama wao.
 
Hakuna haja ya kuvumbua gurudumu kwani lishavumbuliwa tayari. Wazungu walipokuja kuvamia Africa Babu zetu walikuwa na miungu yao. Walitumia miungu na mizimu yao kutaka kuwaondoa wazungu lakini ilishindikana. Kwanini? Kwa sababu miungu ya wazungu ina nguvu zaidi ya miungu ya waafrika! Tuifuate miungu na maarifa ya wazungu tutafanikiwa kama wao.

Mfumo wa nature chenye nguvu umeza kinyonge.
Kama miungu ya kiafrica ilishindwa kumlinda mwafrika asichukuliwe utumwani plus kutawaliwa je kwa sisi kizazi cha SAsa tuna haja ipi kuabudu miungu dhaifu iliyoshindwa.
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
🥰🥰🥰🙏🏼🙏🏼
 
Back
Top Bottom