Unanunua unakuja nayo kwenye ndege kwa mfano silaha anapewa rubani. Ukifika nchini unaiacha hapo uwanja wa ndege. Unakuja kuleta kibali cha kuwa na silaha ya aina hiyo basi unaichukua. Shida NI KIBALI CHA KUWA NA SILAHA HASA BASTOLA. Nimewahi kuona aliyeinunua SA alipewa rubani wa ATC yaani wale waliomwuzia waliipakia kwenye ndege aliyopanda yule jamaa. Kama ni kuishika na kujaribu ni kule kwenye duka.Habari wanajamvini
Nimepita Tanganyika Arms kwa lengo la kujua utaratibu wa kuingiza silaha (bastola) kwa ajili ya matumizi binafsi lakini sikufanikiwa kupata majibu. Naomba muongozo kwa anayefahamu utaratibu wa kuingiza kifaa hiki.
utaratibu wa kumiliki naufahamu, tatizo hauelezei namna ya kuingiza kutoka nje ya nchi. Kitu ninayotaka haipo kwenye maduka yetu ya ngome ya tanganyika armsZipo Thread Nyingi Kuhusu Utaratibu Wa Kumiliki
Ila Nadhani Inaanzia Kamati Ya Ulinzi Ya Wilaya
nataka kufuata taratibu za nchi, changamoto hakuna sehemu ambayo wanatoa maelekezo ya kutoshaNenda duka la silaha mkuu, japo hawapo wazi sana, lakini kuna kitu inaitwa deepweb fatilia ujue zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauwezi kufanya taratibu bila kuwa na namba ya bastola na aina. Nataka kujua nikinunua nani anakuwa custodian wa silaha yangu mpaka hapo ntakapo kamilisha taratibu za kiserikaliAnza kwanza kuomba kibali cha kumiliki silaha ukishapata NDIO ununue .Ikishafika nchini unapofanya clearance waonyeshe kibali unaondoka na silaha yako.
Taratibu nenda ofisi ya POLISI WILAYA AU MKOA WATAKUPA MAELEKEZO
nataka kufuata taratibu za nchi, changamoto hakuna sehemu ambayo wanatoa maelekezo ya kutosha
nataka kuagiza kutoka nje ya nchi, haya maduka hawatoi maelekezo ya kutosha namna ya kuingizaNdiyo mana nkakupa njia mbadala ya kununua kupitia deepweb. Uko mkoa gani wewe? Kuna duka la silaha moja nalijua liko dar na lingine liko pale morogoro. Mikoa mingine sijui kama yapo au hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mana nkakupa njia mbadala ya kununua kupitia deepweb. Uko mkoa gani wewe? Kuna duka la silaha moja nalijua liko dar na lingine liko pale morogoro. Mikoa mingine sijui kama yapo au hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanataka ununue zao walizonazo .Wao ndio sole distributorsnataka kuagiza kutoka nje ya nchi, haya maduka hawatoi maelekezo ya kutosha namna ya kuingiza
. Ak 47 kwa Tanzania raia hawezi kupewa ruhusa ya kuimiliki
AK 47 ya Russia
Sent using Jamii Forums mobile app