Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
Shida inakuja unapojaribu kufananisha wanachokiongea na hali za kimaisha/kiuchumi ni vitu viwili tofauti wengi wanamaisha ya kawaida tu ,tofauti na hayo wanayokaa kuwaahubiria watu kupitia vitabu na kazi zao nyingine , ambacho wengi hatujui sisi ndio tunaowapa ugali wao wa kila siku.Hahahaha! Wanauza mbinu za kufanikiwa sio..