Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 923
- 547
Habari wana Jf!
Naombwa kujuzwa nini kilikuwa lengo hasa ya kuanzisha inspirations na motivations speech, hadi kuelekea watu kuanza kuandika vitabu?
Je tofauti na faida ya kumjenga kiimani ni faida gani kiuchumi mtu hupata( excludes wanaoandaa event)?
Ni kweli ukisikiliza motivations kila wakati utakuja kuwa millionaire?
Kuna uhusiano gani wa mtu kufanikiwa na hizi inspiration?
Je kusoma vitabu vingi ndio rahisi ufunguo wa mafanikio?
Ukisikia mtu anaongelea hizi events za motivations unazitafsiri vipi katika jamii ya sasa? mfano Dar kuna game changer na ile ya Joel Nanauka inaitwa mentalship program.
Je zimebadili uchumi wako kiasi gani?
Na kama zinainfluince katika jamii kwanini baadhi ya maeneo hazifiki?
How to get started? Ans: Start where you are with what you have.
Naombwa kujuzwa nini kilikuwa lengo hasa ya kuanzisha inspirations na motivations speech, hadi kuelekea watu kuanza kuandika vitabu?
Je tofauti na faida ya kumjenga kiimani ni faida gani kiuchumi mtu hupata( excludes wanaoandaa event)?
Ni kweli ukisikiliza motivations kila wakati utakuja kuwa millionaire?
Kuna uhusiano gani wa mtu kufanikiwa na hizi inspiration?
Je kusoma vitabu vingi ndio rahisi ufunguo wa mafanikio?
Ukisikia mtu anaongelea hizi events za motivations unazitafsiri vipi katika jamii ya sasa? mfano Dar kuna game changer na ile ya Joel Nanauka inaitwa mentalship program.
Je zimebadili uchumi wako kiasi gani?
Na kama zinainfluince katika jamii kwanini baadhi ya maeneo hazifiki?
How to get started? Ans: Start where you are with what you have.