Naomba Kujua Kuhusu Mikopo ya Riba nafuu kutoka Hazina.

Ngoja tukavutane mashati huko huko.
Kwani nikizama mkoani kabisa kwenye hazina ya mkoa siwezi pewa hiyo pesa nihamie kwangu nishachoka kulipa kodi na umri wangu wa kustaafu ushasogea!
 
Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana
 
Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana
mkuu unajiungaje hazina saccos?
 
Hiki unachozungumza wewe ni HAZINA SACCOS.

Ila HAZINA wao Kama wao Wana mikopo huwa wanatoa kila Halmashauri huwa Kuna mgawo unatoka. Ninavyosikia huwa haina riba. Na nasikia huwa Kuna sharti ili ukope inatakiwa usiwe na mkopo mwingine.

Ila tatizo kwa Halmashauri Kuna watu Wana njaa na tamaa kinoma, kwahiyo Kama Halmashauri imepewa milioni 300 ni ngumu kwa mtumishi wa chini kupata. Wanakopeshana wakuu wa idara pesa yote.
mkuu hiyo hazina saccos ina unafuu wowote ukilinganisha na bank zetu kwenye upande wa mikopo?
 
Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana

Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko v
Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana
0717607898 nicheck tsup please
 
Back
Top Bottom