MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Yes, ni ngumu kwa mtumishi wa chini kupata.Sasa mkuu watajikopesha kila mwaka hizo pesa?
Imagine, Wakuu wa idara Kama 10 na machawa 5 kila mmoja achukue milioni 20 tayari pesa imeisha.
Yes, ni ngumu kwa mtumishi wa chini kupata.Sasa mkuu watajikopesha kila mwaka hizo pesa?
Aiseee.Yes, ni ngumu kwa mtumishi wa chini kupata.
Imagine, Wakuu wa idara Kama 10 na machawa 5 kila mmoja achukue milioni 20 tayari pesa imeisha.
Young boy kule Sasa walioko wengi no wale kutoka taasisi kubwa kubwa walimu Wachache sana Riba zao ni 0.something very cheapWewe ni MWALIMU wa shule ya msingi au sekondari?
mkuu unajiungaje hazina saccos?Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana
mkuu hiyo hazina saccos ina unafuu wowote ukilinganisha na bank zetu kwenye upande wa mikopo?Hiki unachozungumza wewe ni HAZINA SACCOS.
Ila HAZINA wao Kama wao Wana mikopo huwa wanatoa kila Halmashauri huwa Kuna mgawo unatoka. Ninavyosikia huwa haina riba. Na nasikia huwa Kuna sharti ili ukope inatakiwa usiwe na mkopo mwingine.
Ila tatizo kwa Halmashauri Kuna watu Wana njaa na tamaa kinoma, kwahiyo Kama Halmashauri imepewa milioni 300 ni ngumu kwa mtumishi wa chini kupata. Wanakopeshana wakuu wa idara pesa yote.
hizi mada zinakuwaga na wachangiaji wachache sanaJinsi gani unajiunga hazina saccos?
Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana
Kiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko v
0717607898 nicheck tsup pleaseKiingilio laki Tano ,within two months ni bonge la ofa aseehh...kiukweli Kwenye mabenk ni kuumizana tu ukiingia hazina hutoki,natamani kuweka VN hapa ila kuko vzr sana