MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Mimi niko hapa Kwetu Malawi ila sijajua kama na nyie huko Kwenu Afrika Mashariki nanyi labda Marais wenu huwa wanapenda mno Kupigwa Picha wakiwa Makanisani au Misikitini kila Siku za Ibada ( Maombi ) za Jumapili na Ijumaa huku wakiwa na Nyuso za Huruma kabisa na kama vile wanajutia Jambo fulani hivi.
Nikiwa kama mwana JamiiForums niishie hapa nchini Malawi kwa mwaka wangu huu wa 23 sasa naomba Kuwaulizeni je kuna Faida yoyote ile ya Kimaendeleo kwa nchi / taifa kama kila mara Rais wa Malawi huyu akiwa anapigwa Picha na zinatumwa Mitandaoni na zingine kutumika Magazetini zikimwonyesha kuwa anasali?
Nitashukuru nikijibiwa na mnasalimiwa mno na wana Malawi hapa niishipo.
Karibuni.
Nikiwa kama mwana JamiiForums niishie hapa nchini Malawi kwa mwaka wangu huu wa 23 sasa naomba Kuwaulizeni je kuna Faida yoyote ile ya Kimaendeleo kwa nchi / taifa kama kila mara Rais wa Malawi huyu akiwa anapigwa Picha na zinatumwa Mitandaoni na zingine kutumika Magazetini zikimwonyesha kuwa anasali?
Nitashukuru nikijibiwa na mnasalimiwa mno na wana Malawi hapa niishipo.
Karibuni.