Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,141
- 56,602
Duh. Ila kweli wanasiasa hawa.Uhakiki muhimu, tusije kuingizwa chaka.
Mtu anayeanza form one na miaka 18 ubongo ushaanza kuwaza wanawake hapo napo kuna tatizo.
Duh. Ila kweli wanasiasa hawa.Uhakiki muhimu, tusije kuingizwa chaka.
Mtu anayeanza form one na miaka 18 ubongo ushaanza kuwaza wanawake hapo napo kuna tatizo.
Ila hizo ni exceptional cases aisee. Elimu haina umri kwa kweli .Kuna mwanafunzi namfahamu ana umri wa miaka 24 yuko form six na kuna walimu wana umri wa miaka 25 wamemaliza chuo kikuu wanafundisha
Kwa data hizi ni kweli amemfundisha alimkuta akiwa form threeKwani Diploma ya ualimu enzi hizo ilikuwa inasomwa kwa miaka miangapi ? View attachment 1332222View attachment 1332223
Kweli kabisa kuna mmoja hapo hajui mwaka wake wa kazaliwa au Kangi alikua mrudiaji sugu.Luna mmoja Kati ya hao hajui kwako wake wa kuzaliwa
Kangi Lugola ni msukuma wa mkoa gani?Hao ndio wasukuma waliojaa sirikale ya jiwe na wachefua kweli kweli.
HahahahKumbe yale mauno alikuwa anakata mbele ya mwl wake. Kuna wanafunzi majasiri sana.
Inaonekana Rais anamjua vyema huyu Kangi.
Magu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
Kwani Kangi Lugola ni mskuma ?Hao ndio wasukuma waliojaa sirikale ya jiwe na wachefua kweli kweli.
Elimu za kuunga unga ndio shida yake.Kangi lilisoma na umri mkubwa,ndiomana hata kuna mambo anafanya unajiuliza huyu MTU huyuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana.Chuo kikuu sawa. Ila secondary mhuuuuum ni ngumu.
Inawezekana. Usiwapange kwa umri, wapange kwa kumaliza shule. Magu la 7 kamaliza 74' 'Gola' kaanza la kwanza 74', sasa kwanini asimfundisheMagu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Unaweza kama alichelewa kuanza shule.Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Hivi hilo swali lina tija yeyote hapaNimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu
sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari
Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
Ila Jey awe anachagua lugha aiseee, huwezi kumwambia binadamu mwenzio Eti "Mwili mkubwa lakini akili....." This is not right
Sent using Jamii Forums mobile app