ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Hao ndio wasukuma waliojaa sirikale ya jiwe na wachefua kweli kweli.Kangi lilisoma na umri mkubwa,ndiomana hata kuna mambo anafanya unajiuliza huyu MTU huyuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujasiri huo mnao wachache.Ilinikuta kipindi nipo shule, nilipanda juu ya dawati na kukata mauno vibaya mno! Kumbe ticha katulia nje dirishani ananicheki tu! alipoingia ndani nilichupa fasta na kukaa chini. Kwa upole tu alikuja kunichukua na kunipeleka kwa headmaster, headmaster akataka kunigonga muhuri kwenye tacore
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Ndiyo maana nasema Mh Rais atakuwa anamjua nje ndani.Aliongoza mgomo ulioambatana na uhaibifu mkubwa wa majengo Sengerema sekondari akiwa form 3, Leo anajifanya mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimejua fujo zake kwenye uchaguzi wa 2015.Alikuwa kitengo cha utamaduni ngoma za asili shuleni so mwalimu anayajua mauno ya student wako
Ungeongea kwa mfululizo mzuri ungeona kuwa magu alimfundisha lugora. Ila umejichamgamya tuMagu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
Kama alisoma sekondari mwaka huo kufundishwa na JP ni sawaNimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu
sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari
Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
Ok sawa. Kutokana na kuwa Kagi kaanza form one na 18 yrs old,na hii point yako. Basi Magu alimfindisha Lugola Sengerema Sec.Ndiyo, kipindi hicho walisoma Advance huku wakichukua masomo ya ualimu at the same! Tafuta historia ya mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisaNdiyo, kipindi hicho walisoma Advance huku wakichukua masomo ya ualimu at the same! Tafuta historia ya mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio shule ya msingi ni sekondari inawezekana kabisa hata kama Magu angekuwa 61 bado inawezekana kabisaMagu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Ni sawa nimeshakubali ni mwalimu wake.Sio shule ya msingi ni sekondari inawezekana kabisa hata kama Magu angekuwa 61 bado inawezekana kabisa
Tumesoma sekandari na wanafunzi wanaowazidi baadhi ya waalimu umri
Na nimiaka ya elfu mbili na
Imagine miaka 80 likuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Huyu babu maneno mengine kama anajitungia tu vileMagu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Hivi ule mgomo si kuna wanafunzi walisimamishwa masomo kwa muda fulani?Aliongoza mgomo ulioambatana na uhaibifu mkubwa wa majengo Sengerema sekondari akiwa form 3, Leo anajifanya mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli alimfundisha aisee. Kangi alianza form one na 18 yrs. Nimeangalia kwenye website ya Bunge. 1981 Kangi alianza form one. 1981 Magu Magu alianza Diploma ya ualimu.
Mkemia alianza Mkwawa 1981.Hapa siju Diploma ya ualimu walikuwa wanapiga miaka mingapi. Ila naanza kuamini kuwa alimfundisha.Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
AiseeMkemia alianza Mkwawa 1981.Hapa siju Diploma ya ualimu walikuwa wanapiga miaka mingapi. Ila naanza kuamini kuwa alimfundisha.
Uhakiki muhimu, tusije kuingizwa chaka.Ni kweli alimfundisha aisee. Kangi alianza form one na 18 yrs. Nimeangalia kwenye website ya Bunge. 1981 Kangi alianza form one. 1981 Magu Magu alianza Diploma ya ualimu.
Kuna mwanafunzi namfahamu ana umri wa miaka 24 yuko form six na kuna walimu wana umri wa miaka 25 wamemaliza chuo kikuu wanafundishaHivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?