Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,556
- 40,669
Kuwa mwalimu wa mtu sio hadi umfundishe darasani
Kumbe yale mauno alikuwa anakata mbele ya mwl wake. Kuna wanafunzi majasiri sana.
Inaonekana Rais anamjua vyema huyu Kangi.
aiseeKumbe yale mauno alikuwa anakata mbele ya mwl wake. Kuna wanafunzi majasiri sana.
Inaonekana Rais anamjua vyema huyu Kangi.
Mkuu, hii habari nimeikuta BBC SwahiliMkuu hii bado sijaelewa,ina maana alisoma chato primary kwa miaka 9? Na secondary mwaka mmoja?(hapa hujasema kama Ni O-level au A -level)
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Lugola alichelewa kuanza shuleMagu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Nimeona alianza form one akiwa na 18 yrs old.Labda Lugola alichelewa kuanza shule
UPE?Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
DuhNimeona alianza form one akiwa na 18 yrs old.
Tuisheni?Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Magu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.UPE?
Tuisheni Yes. Maana unaweza ukawa form six yeye yupo secondary.Tuisheni?
Ilinikuta kipindi nipo shule, nilipanda juu ya dawati na kukata mauno vibaya mno! Kumbe ticha katulia nje dirishani ananicheki tu! alipoingia ndani nilichupa fasta na kukaa chini. Kwa upole tu alikuja kunichukua na kunipeleka kwa headmaster, headmaster akataka kunigonga muhuri kwenye tacoreKumbe yale mauno alikuwa anakata mbele ya mwl wake. Kuna wanafunzi majasiri sana.
Inaonekana Rais anamjua vyema huyu Kangi.
Ndiyo, kipindi hicho walisoma Advance huku wakichukua masomo ya ualimu at the same! Tafuta historia ya mkwawaMagu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
kwa hiyo uhusiano wa mwanafunzi na mwalimu upo , sasa yatoshaTuisheni Yes. Maana unaweza ukawa form six yeye yupo secondary.
Zamani miaka ya 1970-1995 kabla ya Voda faster ya kufaurisha wanafunzi wengi, watu wengi walikuwa wanarudia darasa ya saba hata mara tano ndo anafauru kwenda secondary, utakuta mtu anaanza form one tayari anafamilia nyumbani mke na watoto hivyo Kangi inawezekana kabisa hakuzaliwa 1963, inaweza Kuwa 1958 or 1960, zamani watu walikuwa hawatowi umri sahihi kuendelea kurudi darasa la saba.Mbona inawezekana kabisa. Ina maana wanapishana miaka 4. Hivyo JPM alioomaliza F6 akaenda kufundisha alimkuta Lugora F3 au F4. Sii ajabu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app