Naomba kufahamu umri wa Bwana Kangi Lugola

Magu hapo amejimwambafai tu, kumwita Lugola mwanafunzi wake kwa historia ilivyo katufunga kamba. Yeye na Lugola rika moja tu.
 
Hawa watoto waliosoma kipindi hiki unafaulu hata mzazi hashtuki *drs 7 wote wanafanya kuhamia sekondari* hawawezi kujua hii....zamani ukifaulu kwenda sekondari kijiji au mtaa wote unazizimaa na usipofanyiwa maombi au kupewa *missile* na babu yako kesho unakutwa ume - rest in peace.....by the way tulikuwa na *vijeba* na wale walituzidi umri sana tulikuwa tunaziita *njemba* zilikuwa zinapiga mkono na hata std 7 zaidi ya 4 ....sometimes watabe wa std 7 walikuwa wanakaa kikao cha dharura au kuomba assistance kutoka kitaa au shule ya jirani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikowa darasa la pili,shule yetu Kiranja mkuu anakagua isafi pamoja na walimu. Darasa la pili tunafika shule saa nne akauja yeye mwenyewe anakagua isafi,anachapa na viboko watoto wachafu. Alikuwa darasa la Saba,anaweza kutoa adhabu kwa mtu yoyote mkaidi.Hakika yule njemba alikuwa noma na ana ndevu ananyoa..
 
Kwa jinsi JPM mlolongo wake wa shule sidhani.
Naona umezaliwa jana,huko nyuma wanafunzi wengi wa kidato cha sita au walio vyuoni au sekondari kama mkwawa au Shycom wakati wa likizo walikuwa wanakuja shule za sekondari kufundisha,nakumbuka hata huyu aliyekuwa kamanda wa kikosi cha zimamoto Andengenye alikuwa anatoka Mkwawa wakiwa likizo au mazoezi alifundisha shule ya sekondari Itope akiwa angali kijana sana,kuna njemba zilimzidi hata umri lakini walikuwa wanafunzi wake
 
Heshima yako mkuu.
Mkuu, basi huko kwenu mlikuwa na bahati. Mimi nilifanya kulilia kwenda shule baada ya kuona wenzangu niliokuwa nacheza nao wameandikishwa halafu mi mkono haukufika sikioni.
Nilichonya siku ya pili nilitoroka nyumbani hadi shuleni. Nilikuwa na umbo dogo lkn nilikuwa na akili.
Walimu walipoona nalilia shule wakaniambia niandike jina langu. Nikaandika vizuri. Nikaambiwa nihesabu hadi kumi. Nikahesabu haraka sana. Nikaambiwe nihesabu kwa makumi hadi mia moja. Nikaweza. Yote hayo nilifundishwa na dada yangu home. Basi walipoona nimefanya vizuri nikaandikishwa. Miaka walinipunguzia, waliona kama naongeza miaka vile.
Nilianza la kwanza 1986.
Kamba
 
Chuo kikuu sawa. Ila secondary mhuuuuum ni ngumu.
Kwa miaka ya nyuma inawezekana maana hakukuwa na muda maalumu wa kuanza shule na walimu wa sekondary wengi walikuwa wana 2 years Diploma na aliefundishwa amechelewa mwaka mmoja tu kuanza shule anakutwa akiwa form 3 au 4 na Magufuli amefundisha Sengerema mwaka 1983 na 1984, kama Kangi kwa age yake alipaswa huo mwaka wa 1981 ndio awe ana maliza au awe form 3 japokuwa kwa kizazi cha sasa mtu amemaliza Form 6
 
Back
Top Bottom