Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,396
Ni kweli Magu itakuwa alimfundisha Kangi make kwenye CV yake Magu kahitimu chuo cha ualimu Mkwawa akichukua masomo ya diploma ya kemia hesabu na elimu 1981-1982.
Alimkuta Lugola pale SESESCO akampiga pindi la chemistry na maths.
Lugola alirudia sana primary au alichelewa kuanza shule.
Alimkuta Lugola pale SESESCO akampiga pindi la chemistry na maths.
Lugola alirudia sana primary au alichelewa kuanza shule.