stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Bashite alisoma MEMKWA na GWAJIMA tena wote walikuwa wanakwenda shuleni pekupekuBasi Lugola alichelewa sana kuanza shule. Au alifeli la saba akarudia sana tena sana. Tatizo hawa wanasiasa utasikia tu wamesoma wapi na wapi ila miaka ipi hawasemi. Bashite nae haijulikani secondary alimaliza mwaka gani.
Magu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Mimi pia naomba kujua, leo Lugala atalindwa nyumbani kwake au ndiyo walinz waliondoka mara tu alipotumbuliwa?Nimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu
sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari
HaiwezekaniMbona inawezekana kabisa. Ina maana wanapishana miaka 4. Hivyo JPM alioomaliza F6 akaenda kufundisha alimkuta Lugora F3 au F4. Sii ajabu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo kikuu,vyuoni huko sawa. Maana wengine wanatoka makazini. Secondary jamani ? ?????Ninyi wa ajabu kweli kuna dogo ana under 30 anashuka muhadhara kwa over 40. Kipindi kile kuna baadhi ya watani zangu wanaanza form one wakiwa tayari na familia ya watoto watatu huku mwalimu wao wakiwa bachelors kutokana na umri.
Hebu waeleze. Chuo sawa. Ila secondary jamani ? ????Haiwezekani .
Kabisa na mimi ndo waza haya kuna uwezekano labda maana ndo hapo wanahabari maripota wana msemo wao maarufu, "katika hali isiyo ya kawaida..." hiki ndo kingekuwa kichwa cha habari cha hii habari.Basi Lugola alichelewa sana kuanza shule. Au alifeli la saba akarudia sana tena sana. Tatizo hawa wanasiasa utasikia tu wamesoma wapi na wapi ila miaka ipi hawasemi. Bashite nae haijulikani secondary alimaliza mwaka gani.
Hata kama umechelewa .Utachelewa miaka 10-15?Shule ya msingi na secondary ni ngumu.
Wakimuondolea walinzi kuna mapolisi watamla matakoMimi pia naomba kujua, leo Lugala atalindwa nyumbani kwake au ndiyo walinz waliondoka mara tu alipotumbuliwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa binadamu wa zamani wengine walikuwa wakusoma na umri mkubwa sana, mi naona inawezekana tu huyo jamaa kuwa alikuwa ni mwanafunzi wa maguHivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Kwani 59 na 63 ipi imeanza ?Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Jiwe sio mkweli anaweza kudanganyaHivi ni miujiza kwenye hilo mtu kusoma akiwa na umri mkubwa karibia na mwalimu wake, tunazungumzia miaka ya sabini au themanini.
Secondary Jamani. Wewe secondary na Primary kulikuwa na mwalimu anaekuzidi miaka minne tu ?
Basi memkwaHata kama umechelewa .Utachelewa miaka 10-15?Shule ya msingi na secondary ni ngumu.
Ndio kama nilichelewa kuanza shuleSecondary Jamani. Wewe secondary na Primary kulikuwa na mwalimu anaekuzidi miaka minne tu ?
Kwa siku hizi ndiyo haiwezekani, lakini zaman ilikuwa mtu unaemzidi umri angeweza kuwa mwalim wako pia. Enzi hizo ilikuwa mwanafunzi wa miaka 18 anasoma darasa moja na mwanafunzi wa miaka 12.Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?