Naomba kufahamu ubora wa vifaa vya HAVELLS

Ukaridayo

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
507
469
Habari wana jamvi..

Hivi karibuni nategemea kufanya wiring kwenye mji wangu, lakini kuna mdau alinipa taarifa kuhusu vifaa vya tronics, kuwa kwa sasa tronic inazlishwa na mchina hivyo uhakika wa ubora ni mdogo.

Akawa amenigusia kuhusu Havells akidai kuwa kwasasa bado inazalishwa na mhindi mwenyewe..

Naomba kujua zaidi mana hata nilipofuatilia niligundua kwasasa Havells wapo na MCL kama distributor wa bidhaa hizo nchini,, ingawa MCL ni distributor wa makampuni kama TAN-UK, BAJAJ, PANASONIC na KADIA

Naomba kufahamu ubora wa vifaa vya HAVELLS

DUKA lilipo na kadhalika.
 
Kongole kwa kufanya Wiring Mkuu.

WAKUU WANAKUJA, TULIA HAPOHAPO (USIONDOKE).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Havells wako vizuri na ni cheap kuliko tronic. Ubora wa vifaa vyao na tronic havina utofauti sana hasa Main distribution switches. Nina duka la vifaa vya umeme liko Chanika. Ikikupendeza karibu tufanye biashara, PM.
 
Ni ukweli uliowazi,

Tangu tronic ya bongo aichukue mchina, quality ya bidhaa zimekua chenga Kweli kweli, kabaki kutembelea jina na bidhaa chache ambazo naona bado hajazichakachua (extension,sockets na switches) .

Mwezi june tronic walifyatua bulb za led, wachuuzi tukazikimbilia mbio tukijua tutauzia jina, ila kuja kustuka ni chenga sana na zinafifia Kama mishumaa. Sahv sizioni Tena sokoni.

Sept katoa mainswitch ndogo za surface 2way-4wy na anaziuza Bei chini Kama hizi za kichina, kuanzia elfu 22, 25 na 27 kwa 2wy,3y na 4wy. ila ukikagua hazina ubora ule wa tronic tunaemjua (kazifunga fuse za uwezo mdg Sana)

Sahv pia anazo m/switch kubwa za kuchimbia za 4wy-6wy ila kazichakachua sana na kuzipachika fuse za mainswitch ndogo za surface anaziuza elfu 55, tofauti na zile orijino tulizozoea za elfu 67. Ukienda kichwa kichwa unapigwa.
 
Naiamini sana Havells kuliko tronic. Havells anauzia ubora, Tronic anauzia Jina!!
Sahii, havells Yuko vzur japo Hana jina.
Ila kiboko ya wote Ni TROPICAL, japo bei zake ndo Changamoto kwa uchumi wetu wa Tia maji tia maji apa bongo.
 
Ni ukweli uliowazi,

Tangu tronic ya bongo aichukue mchina, quality ya bidhaa zimekua chenga Kweli kweli, kabaki kutembelea jina na bidhaa chache ambazo naona bado hajazichakachua (extension,sockets na switches) .

Mwezi june tronic walifyatua bulb za led, wachuuzi tukazikimbilia mbio tukijua tutauzia jina, ila kuja kustuka ni chenga sana na zinafifia Kama mishumaa. Sahv sizioni Tena sokoni.

Sept katoa mainswitch ndogo za surface 2way-4wy na anaziuza Bei chini Kama hizi za kichina, kuanzia elfu 22, 25 na 27 kwa 2wy,3y na 4wy. ila ukikagua hazina ubora ule wa tronic tunaemjua (kazifunga fuse za uwezo mdg Sana)

Sahv pia anazo m/switch kubwa za kuchimbia za 4wy-6wy ila kazichakachua sana na kuzipachika fuse za mainswitch ndogo za surface anaziuza elfu 55, tofauti na zile orijino tulizozoea za elfu 67. Ukienda kichwa kichwa unapigwa.
Mkuu now kwa hapa tanzania Kuna bidhaa za tronic aina mbili

kuna bidha za tronic kutoka Kenya na zimeandkiwa kabisa FOR SALE IN UGANDA AND KENYA ONLY. hizo ndo Zina kasoro hizo ulizo zizungumzia.

na zinauzwa kwa Siri kweli kweli .
 
Back
Top Bottom