Geofrey muyenzi
New Member
- Jul 10, 2015
- 1
- 2
Wakuu naomba msaada, Lengo nataka kufungua kampuni ya kusupply vifaa vya ujenzi na baadae mtaji ukiongezeka niongeze kufanya building and construction.
Naomba msaada maana nataka kufanya usajili.
Je naweza kufungua General halafu nikaanza kimoja halafu building and construction itakuja kufanyika baadae
Au nianze kimoja yaani supplies ambayo nataka Nina uwezo wa kuanza kwasasa halafu baadae kuhusu hii ya Building and construction itakuaje ili niifanye pamoja na hii.
Msaada wenu wakuu
Na Mungu awabariki kwa msaada wenu
Naomba msaada maana nataka kufanya usajili.
Je naweza kufungua General halafu nikaanza kimoja halafu building and construction itakuja kufanyika baadae
Au nianze kimoja yaani supplies ambayo nataka Nina uwezo wa kuanza kwasasa halafu baadae kuhusu hii ya Building and construction itakuaje ili niifanye pamoja na hii.
Msaada wenu wakuu
Na Mungu awabariki kwa msaada wenu