kushauriwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Nchi tatu za Ulaya zinaongozwa na marais mashoga; hatuna cha kushauriwa nao

    Hawa hawana lolote la kutufundisha au kutuamuru. Nchi tatu za Ulaya zina wakuu wa nchi ambao ni mashoga:- Netherlands, Latvia na Andorra. Wana matatizo makubwa na nchi zao msiwape huo umaarufu wa kuingilia mambo yetu. Hata hiyo misaada wanayotaka kukata, wasitishe tu ili tujifunze kujitegemea...
  2. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Unakubalije kushauriwa na Mwijaku, maandamano vyokooo!!!

    Mwijaku maarufu CHAWA wa CCM anataka vijana wasiandamane yeye kama nani jamaa ana mambo ya hovyo kawaida huyu ni mnufaika wa mfumo.
  3. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

    Ndugu zangu... Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25. Wiki moja iliyopita nilikutana kimwili na binti ambaye kwa bahati mbaya nilikuja kugundua na kuthibitisha kuwa ni muathirika wa virusi vya ukimwi😭😭, na siku hiyo niliuza mechi (sikuvaa...
  4. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Nilienda kwa lengo la kushauriwa nikaishia kusimangwa

    Kwa niliyokutana nayo kalaga baho niseme tu safari ya maisha ni ndefu sna. Mikasa, visa na vibweka kwa akili za watanzania ndo mahala pake. Umaskini nao ndo umefika Juzi wazee nilishikwa kwelikweli, maisha magumu sana Dira haioneshi wapi ni kaskazini. Basi nikajikoki kutafuta watu wazima kidogo...
  5. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Kwahili sihitaji kushauriwa mazeee...

    Minaona.... Shida sio kuacha pombe...🤨 Shida ni..... Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Usizuge kuwa unawahi safari kwahiyo huwezi Kuongea, ukweli ni kwamba Unajishtukia kwa maajabu ya kwa Afya na Wawili uliowatoa kwa Kushauriwa vibaya

    Haya na Mimi GENTAMYCINE sitasema sana kwa sasa kwani nami nataka kuwahi Basi la kutoka hapa Nachingwea kwenda Bonyokwa kuwahi Kikao muhimu cha Vibaka kuwa wengi mtaani Kwetu. Imeisha hiyo......!!
  7. Ushimen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka na usikubali kushauriwa na watu hawa katika Ndoa/Mahusiano yako.

    1. Ikiwa unapitia changamoto yeyote, usije ukaomba ushauri kwa Ex kwasababu huyu atakushauri kwa kusukumwa na wivu ama hisia. 2. Jitahidi kuto mshirikisha rafiki wako wa karibu changamoto za mahusiano yako kwasababu, huyu ni rahisi kukushauri kwa kutumia hisia kwasababu atayabeba maumivu yako...
  8. Ukaridayo

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu ubora wa vifaa vya HAVELLS

    Habari wana jamvi.. Hivi karibuni nategemea kufanya wiring kwenye mji wangu, lakini kuna mdau alinipa taarifa kuhusu vifaa vya tronics, kuwa kwa sasa tronic inazlishwa na mchina hivyo uhakika wa ubora ni mdogo. Akawa amenigusia kuhusu Havells akidai kuwa kwasasa bado inazalishwa na mhindi...
  9. Mwaisongo ZeDON

    JamiiForums Tanzania Je, unaweza kutoa ushauri kwa mtu asiyehitaji kushauriwa?

    Wakati mwingine tunapitia changamoto katika maisha ambazo zinaweza kuwa ngumu sana kushughulikia, hata wale walio karibu nasi wanaweza kutoa ushauri ambao haufai. Hata hivyo, tunapaswa kuwa wazi kwa ushauri wowote wa kujenga kutoka kwa marafiki na familia zetu na kujifunza kutoka kwao. Ni...
Back
Top Bottom