Dukani JF-Expert Member Jul 24, 2018 1,123 1,636 Mar 7, 2020 #1 Habari ya jioni wakuu, naomba kufahamu kuhusu ubora wa gari tajwa hapo juu, ulaji wake wa mafuta, upatikanaji wa spea na nk.
Habari ya jioni wakuu, naomba kufahamu kuhusu ubora wa gari tajwa hapo juu, ulaji wake wa mafuta, upatikanaji wa spea na nk.
D Davey 2017 Senior Member Mar 24, 2017 109 133 Mar 7, 2020 #2 Nunua starlet. Vifaa kibao. Mafuta kidogo. Sent from my SM-G975F using Tapatalk