Naomba kufahamu haya machache kuhusu ASA MICROFINANCE

Naomba kufahamu haya machache kuhusu ASA MICROFINANCE

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,460
Reaction score
4,167
Habari zenu?

Hawa Asa microfinance mwezi uliopita walitangaza nafasi za kazi mbalimbali, mimi nilikua ni miongoni mwa wengi tulioapply.

Sasa wamenipigia na kunitumia ujumbe kuwa siku ya jumatatu kutakua na usaili wa nafasi ya uhasibu ofisini kwao kinondoni.

Sasa ningependa kupata dondoo kuwahusu hasa aina ya maswali yao wanayouliza kwa nafasi ya uhasibu na pia mshahara wao na benefits zingine.

Ni hayo tu kwa sasa.
 
Kibongo bongo sio wabaya kivile ingawa ni wahindi.
Salary ni laki 9,ukipelekwa mkoani huko watakupangishia nyumba pia.
 
Wanataka wazazi wako wawe waajiriwa serikalini sio makapuku ndyo utapata shavu.

Mchakato ni mrefu kule
 
Kibongo bongo sio wabaya kivile ingawa ni wahindi.
Salary ni laki 9,ukipelekwa mkoani huko watakupangishia nyumba pia.
Sio wahindi wale na wala hawapendi kufananishwa na wahindi wale ni wa Bangladesh.

Mara nyingi ajira zao wanazitoa kwa masharti kati ya wazamini wako mmoja anatakiwa kuwa mzazi na mwingine awe muajiliwa wa serikali.

Unaweza kuwa umeomba kama mwasibu kule unaenda kuanza kama loan officer.
 
Sio wahindi wale na wala hawapendi kufananishwa na wahindi wale ni wa Bangladesh.

Mara nyingi ajira zao wanazitoa kwa masharti kati ya wazamini wako mmoja anatakiwa kuwa mzazi na mwingine awe muajiliwa wa serikali.

Unaweza kuwa umeomba kama mwasibu kule unaenda kuanza kama loan officer.
Na asisahau pia kuna wateja sugu hapa lazma sura iwe na mikunjo ya kutosha hlf ujue pia kuruka ukuta maana kuna wateja wana balaa waliwah mfungulia mbwa mshikaji wangu,hawakumkuta eneo la Biashara wakaenda kumdai nyumbani kilichowakuta hawatoweza sahau,lkn pia fanya mazoezi madogo madogo mbio ni muhimu sana kuwa nazo hasa kama ukianza kama loan officer
 
Na asisahau pia kuna wateja sugu hapa lazma sura iwe na mikunjo ya kutosha hlf ujue pia kuruka ukuta maana kuna wateja wana balaa waliwah mfungulia mbwa mshikaji wangu,hawakumkuta eneo la Biashara wakaenda kumdai nyumbani kilichowakuta hawatoweza sahau,lkn pia fanya mazoezi madogo madogo mbio ni muhimu sana kuwa nazo hasa kama ukianza kama loan officer
😃😃😃😃 yan wabongo Kurdish hel n kaz
 
Sio wahindi wale na wala hawapendi kufananishwa na wahindi wale ni wa Bangladesh.

Mara nyingi ajira zao wanazitoa kwa masharti kati ya wazamini wako mmoja anatakiwa kuwa mzazi na mwingine awe muajiliwa wa serikali.

Unaweza kuwa umeomba kama mwasibu kule unaenda kuanza kama loan officer.
Ndio maana wanatangaza nafasi za kazi kila leo.
 
Habari zenu?

Hawa Asa microfinance mwezi uliopita walitangaza nafasi za kazi mbalimbali, mimi nilikua ni miongoni mwa wengi tulioapply.

Sasa wamenipigia na kunitumia ujumbe kuwa siku ya jumatatu kutakua na usaili wa nafasi ya uhasibu ofisini kwao kinondoni.

Sasa ningependa kupata dondoo kuwahusu hasa aina ya maswali yao wanayouliza kwa nafasi ya uhasibu na pia mshahara wao na benefits zingine.

Ni hayo tu kwa sasa.
Wako vizuri ila ficha maendeleo yako..
Ukianza kuchangamka na wao wanakuchangamsha.
 
Andaa buti la jeje na uanze kucheza karate.maana kuna wateja sugu bila kupigana hawalipi
 
Habari zenu?

Hawa Asa microfinance mwezi uliopita walitangaza nafasi za kazi mbalimbali, mimi nilikua ni miongoni mwa wengi tulioapply.

Sasa wamenipigia na kunitumia ujumbe kuwa siku ya jumatatu kutakua na usaili wa nafasi ya uhasibu ofisini kwao kinondoni.

Sasa ningependa kupata dondoo kuwahusu hasa aina ya maswali yao wanayouliza kwa nafasi ya uhasibu na pia mshahara wao na benefits zingine.

Ni hayo tu kwa sasa.
Kama ni mwanaume beba bahasha kama ni mwanamke jiandae kujitoa sadaka
Iliwekwa mada humu mwaka jana au juzi kuhusu rushwa ya ngono
 
Wanatabia kuuuliza ulichosomea kama maswali ya gafla mafano tell ud about hr kama ulisomea hr

Function of microfinance.
Pitia Tv za kingereza uongeze msaiati
Jiamini na usikae mbele
 
Sifa nzur ya kampuni ya asa
Kulipa on time
Kuna naul wale ma loan officer wanalipwa kila mwisho wa mwezi
Nssf
Nhif
Likizo kwa wafanyakazi
Kuna double salary mwez wa 6 na 12

Shida ya asa
Kuchelewa kutoka kazin ad saa saba mtu anaeza kuwa kazin tena ukipata supervisor wa ajabu wana kaul ulale mtaani usirudi na od(mteja kutolipa rejesho) hii ndo sababu kuna wafanyakaz weng wanaacha kaz.

Kuhusu uhamisho unakuwa mgum sana mfano ukiwa zonal ya tanga kuhamishwa kwenda mikoa mingine inakuwa mtihan.

hii ni kazi ya ndio mzee na sio ya kuhoji kiongozi wako ata siku moja ukihoji we jeur unakula show cause kama zotee.
 
Back
Top Bottom