Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!