Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,707
- 4,433
Habari za jioni wakuu
Kijana mtiifu,mchapakazi na mwenye akili timamu.Nipo mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kupata pesa ya kuendesha maisha yangu
Elimu yangu ni kidato cha 6 napatikana Goba Dar es salaam.Kazi ninayofanya kwa sasa ni kiwandani
Mwenye mchongo wowote tushtuane wakuu tusikunjiane
Lamomy
Mjusi Sharobalo
Kijana mtiifu,mchapakazi na mwenye akili timamu.Nipo mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kupata pesa ya kuendesha maisha yangu
Elimu yangu ni kidato cha 6 napatikana Goba Dar es salaam.Kazi ninayofanya kwa sasa ni kiwandani
Mwenye mchongo wowote tushtuane wakuu tusikunjiane
Lamomy
Mjusi Sharobalo