Naomba kazi

Naomba kazi

Kumbe ni kijana mtiifu wa mboga mboga?
1000108280.jpg
 
Kijana kuanzia asubuh mpaka jion unamtetea Samia wakati hata kazi huna?!!
 
Mkuu nimekukosea nini? Mbona unatumia nguvu kubwa kunichafua hii issue tushaisort out acha kujisumbua
Fungua thread waombe msamaha uliowabeza, uliowaudhi kwa maandishi yako ya kubeza harakati za Gen Z, omba radhi kwa kuungana na kutetea utawala dhalimu na haramu na uache uchawa. Mi sina chuki na wewe ila nlikuwa naona sana michango yako kwenye movement ya Gen Z.
 
Fungua thread waombe msamaha uliowabeza, uliowaudhi kwa maandishi yako ya kubeza harakati za Gen Z, omba radhi kwa kuungana na kutetea utawala dhalimu na haramu na uache uchawa. Mi sina chuki na wewe ila nlikuwa naona sana michango yako kwenye movement ya Gen Z.
Sawa mkuu tuko pamoja
 
Mwanachama wa chama cha Gen Z

Kazi ya kiwandani masaa ni mengi sana ya kazi halafu ujira ni mdogo 4000 per day kula ni mchana tu au usiku tu na kazi ni nzito
Kujikomba kote kule kumbe unatafta kazi
Endelea kutafta kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom