Naomba kazi

Naomba kazi

Unakosea mkuu we ni mtu timamu sana humu
Jifunze kuwajibika kama kijana
Bandari ina warabu huwezi kupata hata kibarua pale
Serikali ilitakiwa iwaangalie vijana mpate mitaji hata ujuzi mjiajiri ila ndo inauwa Kwa maelfu
Ukiambiwa tupinge mambo haya wewe unabaki kupuuza
 
We jamaa una shida gani? Huyo unaemwambia hivyo jana tu tumepishana mtazamo ila amekuja na mawazo positively

Hii inaonesha kuwa kweli yeye ni Great thinker na yuko matured

Kupishana mtazamo haifanyi tuwe maadui that's why mpaka leo tunaishi vizuri tu waislamu na wakristo palipo na tatizo tunasaidiana bila kubaguana

Mi sio chawa wa ccm kama unavyodai
Wewe ni chawa maskini Nimekuambia njoo nikupe kazi ya kukudinya
 
Jifunze kuwajibika kama kijana
Bandari ina warabu huwezi kupata hata kibarua pale
Serikali ilitakiwa iwaangalie vijana mpate mitaji hata ujuzi mjiajiri ila ndo inauwa Kwa maelfu
Ukiambiwa tupinge mambo haya wewe unabaki kupuuza
Tuko pamoja Mkuu nimekuelewa
 
Wapi imetajwa CCM hapo?

Yani hadi wewe wakufanya hivi aisee??
Hili swali lako inatakiwa ulirudishe kwako likusaidie wewe kujitafakari upya. Make kila mtu unamuuliza "hadi wewe" "hadi wewe"

Yes hadi mimi, nasimama upande wa haki na kama ni muoga basi sitawakatisha tamaa wanaosimamia haki.

Wote unaowauliza hadi wewe unawakera na michango yako nikiwemo mimi.
 
Hili swali lako inatakiwa ulirudishe kwako likusaidie wewe kujitafakari upya. Make kila mtu unamuuliza "hadi wewe" "hadi wewe"

Yes hadi mimi, nasimama upande wa haki na kama ni muoga basi sitawakatisha tamaa wanaosimamia haki.

Wote unaowauliza hadi wewe unawakera na michango yako nikiwemo mimi.
Hata mimi nasimama upande wa haki na nitaendelea kusimama upande wa haki siku zote

Sehemu ulipoona nimekosea tunaeleweshana palepale na sio kuja kuchafuana hapa ambapo hata hapahusiani na politics

Anyway kama unauhitaji wa kijana hapo kwa ofisi nisaidie mkuu nijishikize
 
Hata mimi nasimama upande wa haki na nitaendelea kusimama upande wa haki siku zote

Sehemu ulipoona nimekosea tunaeleweshana palepale na sio kuja kuchafuana hapa ambapo hata hapahusiani na politics

Anyway kama unauhitaji wa kijana hapo kwa ofisi nisaidie mkuu nijishikize
Mi nataka dada wa kazi za ndani
 
Una maanisha akaombe ofisi za sisiemu au sio
1000108279.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom