secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,265
- 28,445
Itategemea na sapoti utakayonipa siku ya 9D.Mimi nataka uwaziri wa fwedhaa
Jitihada zako tu mkuu 😂
Itategemea na sapoti utakayonipa siku ya 9D.Mimi nataka uwaziri wa fwedhaa
Nitatoka na mapanga na mshale nina shabaha kama waanzabeItategemea na sapoti utakayonipa siku ya 9D.
Jitihada zako tu mkuu 😂
9D niko front mhishimiwaNikimpindua Samia nikawa Rais wewe utakuwa naibu waziri wa elimu, yaani kile cheo kinachoshikiliww na Wanu bin Samia ndicho kitakuwa chako, na waziri wako atakuwa Mwachiluwi.
Hivyo nakuomba 9D uniunge mkono katika shughuli nzima ya kumwangusha huyu sheitwani.
Jamaa kumbe ndo huwaga uko hivi humu jukwaani nilikuwa nakuona ni mtu smart sana aisee kumbe upande wa pili ndo uko hivi
Hata mimi nasimama upande wa haki na nitaendelea kusimama upande wa haki siku zote
Sehemu ulipoona nimekosea tunaeleweshana palepale na sio kuja kuchafuana hapa ambapo hata hapahusiani na politics
Anyway kama unauhitaji wa kijana hapo kwa ofisi nisaidie mkuu nijishikize
We kazi yako c uchawaWe haujawahi kutafuta kazi? Au kutafuta kazi ni kitu cha ajabu?
Mashoga awaruhusiwi9D niko front mhishimiwa
Mgema usinisifu maana tembo nitalitia maji likageuka togwa lilikwenda shule 😂.Usisahau kutengeneza pombe ya tembo
Wahenga watashangaa sanaMgema usinisifu maana tembo nitalitia maji likageuka togwa lilikwenda shule 😂.
Mpira wa bayn na arsenl una onyeshw channel gani kwangu uku sioni kabisaWahenga watashangaa sana
Hakika mkuu, lazima tuipambanie nchi yetu bhana!Nitatoka na mapanga na mshale nina shabaha kama waanzabe
Nipo na wewe mpaka iisheHakika mkuu, lazima tuipambanie nchi yetu bhana!
Nitag kwenye uho uziMwachi si uende kwenye uzi wao kule watu wa Arsenal ukaulizie 😅
Yes, usiogope kufa maana hata ukifa ukatuachia vyeo vitakavyopatikana hatutausahau mchango wako.9D niko front mhishimiwa
Umekutana na Evelyn Salt wa KIKUU 😃Yule Evelyn katika movie ya Salt hayuko kama hivi aisee 😅😅
Sema hauna baya Mkuu mi sikupingi
Platinum Credit Limited ni kampuni inayotoa mikopo kwa Watumishi wa Umma, wafanyabiashara na wafanyakazi kampuni binafsi.Habari za jioni wakuu
Kijana mtiifu,mchapakazi na mwenye akili timamu.Nipo mbele yenu kuomba kazi yoyote halali ili niweze kupata pesa ya kuendesha maisha yangu
Elimu yangu ni kidato cha 6 napatikana Goba Dar es salaam.Kazi ninayofanya kwa sasa ni kiwandani
Mwenye mchongo wowote tushtuane wakuu tusikunjiane
Lamomy
Mjusi Sharobalo